Masikini Mange Kimambi

Masikini Mange Kimambi

Naona mko busy kutest mitambo .

Tabu bado iko p
Namuhurumia sana Mange Kimambi kwa aibu atakayopata kutoka kwa Watanzania.

Binafsi natamani maandamano ya amani yawepo reforms zifanyike kusudi huko kupiga kura kuwe na maana kuliko maigizo haya ya kila siku ya kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana tayari.

Kwa nguvu alizotumia Mange Kimambi nasikitika kusema watanzania wata mdisappoint na hatokaa aamini macho yake.

Kwa hali ilivyo huku uraiani hakuna mwenye nia ya kuandamana na ila kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao watapiga kura.

Asilimia zaidi ya 70 tumeshakubaliana na hali ,na hiyo siku watu tutaichukulia kama zilivyo siku nyingine, hatupigi kura ila kuhusu kuandamana itategemea pia japo si rahisi kufanyika.

Nikikumbuka maandamano ya UKUTA yalivyotikisa kipindi kile na hakuna Mtanzania hata mmoja aliyejitokeza kuandamana licha ya kujazana upepo wa kuandamana ninadhani hata hii tarehe 29 mambo yatakuwa ni yaleyale.

Watu hatuwazi kabisa kuhusu uchaguzi kila mmoja yupo busy na shughuli yake na hatuna habari kabisa kuhusu huo uchaguzi feki.

Pole sana Mange, watanzania sisi ni kama kenge hatusikii mpaka damu zitutoke masikioni .
Mkuu unazingua ujue 🤣🤣🤣

Yaani kwa namna hali ilivyo hivii ulitegemea huo utafiti wako uje na matokeo gani zaidi ya hayo?

Hujawahi kukutana na kale ka clip cha mtu anamuuliza dogo utaandamana nae akajibyje? 🤣

Ile ndiyo code ya kitaa ili wasije wakadajwa kabla ya siku ya tukio .

Kaa kwa kutulia .

kitaa kwa moto nihatari jombaa
 
Nakuona muuza Uoga umekuja kutuuzia uoga
Ah yes, nilivyoona tu comment yako niliexpect kwa asilimia 100 lazima utaniquote.

Mimi siuzi uoga, bali nagawa uhalisia kwa moyo wa huruma. Kubadilisha uongozi kwa nguvu, hata wakifanikiwa, hakutobadilisha maisha ya kila mtu immediately au inaweza isitokee kabisa. Wa chini watabaki chini, ikiwemo wewe. Watakaofaidika ni walio kwenye nafasi husika pekee. Hivyo mwananchi wa kawaida hana sababu yoyote kwa sasa ya kwenda kujiharibia kidogo alichonacho.

Kinachokutofautisha wewe na masikini wa chini kabisa ni delusion na naivety.
 
Naona mko busy kutest mitambo .

Tabu bado iko p

Mkuu unazingua ujue 🤣🤣🤣

Yaani kwa namna hali ilivyo hivii ulitegemea huo utafiti wako uje na matokeo gani zaidi ya hayo?

Hujawahi kukutana na kale ka clip cha mtu anamuuliza dogo utaandamana nae akajibyje? 🤣

Ile ndiyo code ya kitaa ili wasije wakadajwa kabla ya siku ya tukio .

Kaa kwa kutulia .

kitaa kwa moto nihatari jombaa
Mtaa upi huo?
 
Ah yes, nilivyoona tu comment yako niliexpect kwa asilimia 100 lazima utaniquote.

Mimi siuzi uoga, bali nagawa uhalisia kwa moyo wa huruma. Kubadilisha uongozi kwa nguvu, hata wakifanikiwa, hakutobadilisha maisha ya kila mtu immediately au inaweza isitokee kabisa. Wa chini watabaki chini, ikiwemo wewe. Watakaofaidika ni walio kwenye nafasi husika pekee. Hivyo mwananchi wa kawaida hana sababu yoyote kwa sasa ya kwenda kujiharibia kidogo alichonacho.

Kinachokutofautisha wewe na masikini wa chini kabisa ni delusion na naivety.
Kwa hio wewe unamaanisha kuteka na kuua kwako sio suala linalokuumiza kichwa kabisa sababu haijaingia kwenye upande wako?
 
Kwa hio wewe unamaanisha kuteka na kuua kwako sio suala linalokuumiza kichwa kabisa sababu haijaingia kwenye upande wako?
Kuteka na kuua ni mambo ya kulaaniwa. Lakini mimi kama mmoja ya wananchi average wa Tanzania ambao ni majority. Nina mengi sana ya kuniumiza kichwa, kwamba hata nikiachana nayo kwa saa basi maisha yangu na ya wengi wa karibu hayatakuwa tofauti na kifo. Hivyo natetea na kulinda kilicho ndani ya uwezo wangu. As everyone should.

Ukilinganisha ni kwamba kiuhalisia hakuna cha kufanya kuzuia mambo makubwa kama hayo. It'll be incredibly naive to think otherwise.

Uko tayari kuumia, kufa au kupoteza kila ulichonacho leo ili kuleta mabadiliko?
 
Upo tayari kutekwa na kuuliwa na lisijulikane lilipo kaburi lako?
Hapana, sipo tayari, napenda sana kuishi plus Ugali na Maharage ni moja ya kitu bora maishani mwangu. Na hicho ndicho kinachonifanya nilinde kilichondani ya uwezo wangu. Kwa kuishi kimya kwa amani nikifanya yanayonihusu, badala ya kujitangaza mitandaoni na kujihusisha na mambo ya serikali na viongozi ambayo impact yake kwangu in general is beyond negligible currently.

Sasa nijibu swali langu: Uko tayari kuumia, kufa au kupoteza kila ulichonacho leo ili kuleta mabadiliko?
 
Sasa nijibu swali langu: Uko tayari kuumia, kufa au kupoteza kila ulichonacho leo ili kuleta mabadiliko?
Hilo swali lako ndio nililokuuliza mwenyewe
Upo tayari kutekwa na kuuliwa na lisijulikane lilipo kaburi lako?
Soma swali lako then compare, usipende kuuliza maswali ya kijinga ambayo wewe mwenyewe unayajibu kwa kigugumizi
 
Hilo swali lako ndio nililokuuliza mwenyewe

Soma swali lako then compare, usipende kuuliza maswali ya kijinga ambayo wewe mwenyewe unayajibu kwa kigugumizi
Una utoto mwingi sana, sishangai kuona ukidhani unaweza leta mabadiliko.

Good. Sasa kama haupendi kufa, kaa kimya, kula Ugali wa mama hapo nyumbani kwa amani na uache kupiga kelele mitandaoni kuhusu mabadiliko wakati ni wazi hakuna kitu unaweza fanya zaidi ya kujipotezea muda na kuhatarisha kutekwa, kuuliwa na kutupwa.
 
Una utoto mwingi sana, sishangai kuona ukidhani unaweza leta mabadiliko.

Good. Sasa kama haupendi kufa, kaa kimya, kula Ugali wa mama hapo nyumbani kwa amani na uache kupiga kelele mitandaoni kuhusu mabadiliko wakati ni wazi hakuna kitu unaweza fanya zaidi ya kujipotezea muda na kuhatarisha kutekwa, kuuliwa na kutupwa.
Mboni unaniongelea km nimekuagiza uniongelee, sio kila kinachonihusu nikwambie wewe baki na unachokiamini ndio maana nimekwambia hamia upande ule waambie wakukabidhi bunduki uwasaidie kuua, hujanielewa nini?
 
Mboni unaniongelea km nimekuagiza uniongelee, sio kila kinachonihusu nikwambie wewe baki na unachokiamini ndio maana nimekwambia hamia upande ule waambie wakukabidhi bunduki uwasaidie kuua, hujanielewa nini?
Unaona? Haujui unachokitaka, you're confused na unashabikia chochote kilicho mbele yako.

Simple, nimekuuliza swali, na wewe ukanirudishia swali langu, kwa wema, nikajibu kwa muono wangu mimi. Na wewe ukasema jibu langu ni sawa na lako, kwamba hautaki kufa.

Mimi nilitaka ujibu kwa muono wako wewe, lakini umeshindwa na unaogopa kujibu kwa sababu haujui unachokitaka, hauna uhakika, and if anything, unashabikia siasa tu humu mitandaoni kuhamasisha wengine wakahatarishe na wakapoteze vilivyo vyao ikiwemo maisha. Lakini wewe hautofanya hivyo na hata hautojibu swali kuhusu hicho. Hicho kitu kinakufanya uwe sawa na hao unaowahukumu.

Mimi sipendi mauaji na wala siigizi Shujaa kwa kupiga kelele, bali nawapa uhalisia wa matendo, matokeo na consequences zake.

Wewe kama wengi humu wenye muono kama wako, ni mtu simple sana, nilikusoma tangu mwanzo.

Uko tayari kuumia, kufa au kupoteza kila ulichonacho leo ili kuleta mabadiliko?
 
Una utoto mwingi sana, sishangai kuona ukidhani unaweza leta mabadiliko.

Good. Sasa kama haupendi kufa, kaa kimya, kula Ugali wa mama hapo nyumbani kwa amani na uache kupiga kelele mitandaoni kuhusu mabadiliko wakati ni wazi hakuna kitu unaweza fanya zaidi ya kujipotezea muda na kuhatarisha kutekwa, kuuliwa na kutupwa.
Hongera kwa kujua utakufaje. Wewe ni bonge la kiazi. Kumbe hujui unaweza ku play low key na ukafa mapema tu! Tena kwa kifo cha aibu
 
Hakuna ambaye hayupo kwenye hatari ni vile hujaingia kwenye kumi na nane za wahuni. Yule Niffer ameposti kama kichekesho wakamteka.

Unadhani kesho sio kwako? Unaweza kutoa mawazo ambayo kwako unaoma ya kawaida lakini kwao wakahisi ni hatari nakuhakikishia hutaamini.

Lazima kama jamii tuwe na taratibu za kukubaliana na kukosoana huku kutekana hakuna aliyesalama hata kama sasa hivi unanufaika.

Maandamano yetu ni tuwajue wasiojulikana watupe watu wetu wengi waliowapoteza
Optimisim is admirable. Mimi niko salama na hao viumbe wanyonya damu mkuu. Badala ya kupiga kelele mitandaoni na kujitangaza. Nalinda kilicho ndani ya uwezo wangu kwa kuishi kimya kwa amani bila ya kukosoa wala kuingilia mambo ya serikali au viongozi, ambayo impact yake kwangu ni ndogo sana as an individual currently.

Ukilinganisha kiuhalisia hakuna kitu naweza fanya kuleta mabadiliko zaidi ya kujipotezea muda.

Vipi wewe mkuu, uko tayari kuumia, kufa au kupoteza kila ulichonacho leo ili kuleta mabadiliko?
 
Namuhurumia sana Mange Kimambi kwa aibu atakayopata kutoka kwa Watanzania.

Binafsi natamani maandamano ya amani yawepo reforms zifanyike kusudi huko kupiga kura kuwe na maana kuliko maigizo haya ya kila siku ya kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana tayari.

Kwa nguvu alizotumia Mange Kimambi nasikitika kusema watanzania wata mdisappoint na hatokaa aamini macho yake.

Kwa hali ilivyo huku uraiani hakuna mwenye nia ya kuandamana na ila kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao watapiga kura.

Asilimia zaidi ya 70 tumeshakubaliana na hali ,na hiyo siku watu tutaichukulia kama zilivyo siku nyingine, hatupigi kura ila kuhusu kuandamana itategemea pia japo si rahisi kufanyika.

Nikikumbuka maandamano ya UKUTA yalivyotikisa kipindi kile na hakuna Mtanzania hata mmoja aliyejitokeza kuandamana licha ya kujazana upepo wa kuandamana ninadhani hata hii tarehe 29 mambo yatakuwa ni yaleyale.

Watu hatuwazi kabisa kuhusu uchaguzi kila mmoja yupo busy na shughuli yake na hatuna habari kabisa kuhusu huo uchaguzi feki.

Pole sana Mange, watanzania sisi ni kama kenge hatusikii mpaka damu zitutoke masikioni .
Pumbaf
 
Back
Top Bottom