Ah yes, Zyprexa, ndio leo nimezisikia kwako, lazima utakuwa na experience nazo ya kutosha. Nimefanya research yake right now.
Here are the dots.
1: Unaogopa sana kufa na hautaki kuulizwa maswali ya kufa.
2: Kila uzi unaopita JF unaacha comment inasema au kufanana na "wanauza uoga." Ikiwemo kuniita mimi muuza uoga.
3: Sasa hivi umenijibu kuhusu Zyprexa, ambayo ni dawa ya Schizophrenia na Bipolar Disorder. Magonjwa ya akili yanayohusiana na uoga, maluweluwe na hisia kubadilika mfululizo. Hicho kitendo psychologically kinaitwa protection, yaani kupakazia watu mambo usiyoyapenda bila kujua. Ni njia moja wapo ua kupunguza maumivu ya ndani.
4: Unajiita 404 Pages, ni Web server response kwamba page haipatikani. Unajiita hivyo sababu ya uoga wa kujulikana au kupatikana na mwisho wa siku kuuliwa. Hence kuogopa swali dogo kuhusu kifo.
Conclusion ni lazima utakuwa na mental disorder, sababu hata majibu yako kwa maswali yangu ya kawaida kuhusu kifo yalinishangaza sana, sababu ni maswali ya kawaida sana.
Don't play mind games with me man, utaishia kujiexpose bure na kujiuza, sababu kama ulivyosema "nitachimba" bila kujua na nitakujua nje ndani. But you won't beat me at it, I enjoy the game. Not to brag, but I'm just too good.
Attempt leaving the last word at your own risk. This is incredibly fun.