miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
- Thread starter
- #261
aiseeeeeeeeeeSijawahi kuamini story za miss chaga hata moja,nyingi za kubumba bumba
aiseeeeeeeeeeSijawahi kuamini story za miss chaga hata moja,nyingi za kubumba bumba
Jibu lipo hapa ukitumia akili. Umehukumiwa kifo ukapigwa risasi ya moyo ukaangua chini Polisi wameondoka. Hafla ukahisi mapigo ya moyo na kunyanyuka. Jee utaondoka na kuhama mji na kuendelea na maisha yako? au Utawafuata Polisi waimalize kazi yao na kukuuwa?mbaya zaidi kuna wakati hata kumeza dawa hataki anaamini mungu atamponya .. Ushauri please
Nitaondoka na kuhama mjiJibu lipo hapa ukitumia akili. Umehukumiwa kifo ukapigwa risasi ya moyo ukaangua chini Polisi wameondoka. Hafla ukahisi mapigo ya moyo na kunyanyuka. Jee utaondoka na kuhama mji na kuendelea na maisha yako? au Utawafuata Polisi waimalize kazi yao na kukuuwa?
Mkuu mbona imeshapouwa tokea mwaka janamiss chaga hii chai vipi?Kimya
Mwambie kaka yako alipo kwa sasa sipo. huruma baadaeNitaondoka na kuhama mji