Hatujuwani
Member
- Oct 11, 2011
- 51
- 10
Vijana wa siku hizi wanajisahau sana, msameheeni bure hajui alitendalo.
Ukimuona wa nini wenzio wanajiuliza watampata lini?sijawahi kuvutiwaga na sepetu
wanajamvi leo hii kila kona kumezagaa skendo ya diamond ya kufanya utapeli baada ya kupokea advance kutoka kwa promota na kutotokea kwenye shoo uko arusha,promota anadai alimlipa diamond advance pamoja na tiketi ya denge pamoja na kugharamia garama za malazi na chakula lakini kapotezea shoo inavosemekana jana watu waliingia ktk shoo lakini adi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kualibu ukumbi na madansa wa diamond kupelekwa lupango.swali je huu ndo mwanzo wa kupolomoka kwa diamond kama enzi zile za kina mr nice?nawasilisha.
Tiketi ya DENGE...hii kali ya mwaka.
sijawahi kuvutiwaga na sepetu
..........adi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kualibu ukumbi na madansa wa diamond kupelekwa lupango......
Hao madansa wanakaa Arusha au walitoka Dar, na kama walitoka Dar walikuwa naye? Walimwacha wapi wakati nakuja ukumbini na kuishia kushushiwa kupigo?
Kama aliacha kutokea kwa makusudi alifanya makosa makubwa sana, akumbuke kuwa "ukiona kobe juu ya mti uje kapandishwa na mtu....sasa kama anadharua wale wanaosababisha afahamike anaweza kuishia pabaya ilhali umri bado.
sijawahi kuvutiwaga na sepetu
Bwana wewe hapa tunamzungumzia Diamond....sijawahi kuvutiwaga na sepetu
Wema amemficha mapajani.
labda usafiri wa "denge" ulikuwa mgumu kupatikaha! Haahaha!
kwanini aporomoke...hayo ni matatizo kazini nani ambaye ana uhakika hawezi kupata matatizo eneo lake la kazi,mwenyewe ashasema atafanya shoo nyingine bure kwa gharama zake mwenyewe!!!
Dogo kaparamia pori na kiwembe
going down down down
nahisi alikuwa anab.....ndwa na jimama lake aliiekuwa miss TZ miaka kama mi5 ilopita ambaye kila siku anatudanganya ana miaka 21......lol
Alikuwa bado kwenye Honeymoon ya Engagement!
Mmmmmmh nampa pole awaeleze tu klchomcbu mpaka hakuweza kutokea na jnc gan atawaburudsha wapnz wake wote wa atown
"Nadhani Mr Nice inamuuma hii zaidi ya sisi"
Dogo hajui hapo alipo amefikishwa na watu anaowakimbia, hao hao ndio watamshusha"