Masikini Diamond huu ndo mwanzo wake wa kufilisika

wanajamvi leo hii kila kona kumezagaa skendo ya diamond ya kufanya utapeli baada ya kupokea advance kutoka kwa promota na kutotokea kwenye shoo uko arusha,promota anadai alimlipa diamond advance pamoja na tiketi ya denge pamoja na kugharamia garama za malazi na chakula lakini kapotezea shoo inavosemekana jana watu waliingia ktk shoo lakini adi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kualibu ukumbi na madansa wa diamond kupelekwa lupango.swali je huu ndo mwanzo wa kupolomoka kwa diamond kama enzi zile za kina mr nice?nawasilisha.

Angefikaje na denge? kwa hiyo alikuwa anasubiri ticket ya ndege sasa
 
Nafikiri huyu kijana anamatatizo ya akiri pia,nilishawahi kumsikia akihojiwa anasema elimu kwake sio msingi na hana mpango wowote wa kijiendeleza kwani anauwezo wa ku-make mil 15 kwa mwezi ikiwa ni zaidi ya mshahara wa tu mwenye degree 2.Anafikiri elimu ni pesa tu?
 
dogo ameanza kujisahau yale yale ya wasanii wa bongo! nina gx 100, nmepanga sinza, nina duka la nguo,anaona maisha saafi.wasanii wa bongo bwana!
 
..........adi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kualibu ukumbi na madansa wa diamond kupelekwa lupango......

Hao madansa wanakaa Arusha au walitoka Dar, na kama walitoka Dar walikuwa naye? Walimwacha wapi wakati nakuja ukumbini na kuishia kushushiwa kupigo?

Kama aliacha kutokea kwa makusudi alifanya makosa makubwa sana, akumbuke kuwa "ukiona kobe juu ya mti uje kapandishwa na mtu....sasa kama anadharua wale wanaosababisha afahamike anaweza kuishia pabaya ilhali umri bado.
 
Wema amemficha mapajani.

hivi uyu demu huwa anawawejea nini?mbona jamaa huwa wanadata sana?chalz baba mwenyewe ali fall matokeo yake anakuja anatuambia wema anamikosi sasa tusubili diamond atatuambia nini.
 
kwanini aporomoke...hayo ni matatizo kazini nani ambaye ana uhakika hawezi kupata matatizo eneo lake la kazi,mwenyewe ashasema atafanya shoo nyingine bure kwa gharama zake mwenyewe!!!

kumbuka kipolo ni kipolo 2 shosti tamaa ya ela na misifa ndo zinaponza wasanii wengi wa tanzania ivi ushawai kujiuliza kwanini hashim thabit anazidi kupolomoka kwenye gem la basketball wakati wakongwe kama wakina kobe bado wanatamba?
 
nahisi alikuwa anab.....ndwa na jimama lake aliiekuwa miss TZ miaka kama mi5 ilopita ambaye kila siku anatudanganya ana miaka 21......lol

kwaiyo kipindi anapata umiss alikuwa na miaka 17 lundenga alimruhusuje au ndo kale ka rushwa ketu.
 
Mmmmmmh nampa pole awaeleze tu klchomcbu mpaka hakuweza kutokea na jnc gan atawaburudsha wapnz wake wote wa atown

alikuwa kwenye shoo ya cabo snoop iliyoandaliwa na ruge akaona akienda a town ruge ndo mwanzo wa kumpiga ban kwenye redio yake.
 
"Nadhani Mr Nice inamuuma hii zaidi ya sisi"
Dogo hajui hapo alipo amefikishwa na watu anaowakimbia, hao hao ndio watamshusha"

mr nice ilifika kipindi hadi hakawa anajiita young millioner sasa yuko wapi?saivi hata ukimpa shoo ya elfu hamsini na chakula atafanya tu.sa tumsubili mdogo wetu diamond.
 
Back
Top Bottom