Wapo. Siumesikia wakisema mwenyekiti wa chama chako ni DJ?Wamefunikwa, wakakubali na wakasinzia...
Wapi Hemed Rashid? Tangia kikao cha bajeti kimeanza sijawahi tena kuwasikia... wapo?
Angalau yule jamaa wa Lindi Mjini, na yule mama Viti maalum wa Tabora, nimewasikia mara moja.
CUF Vipi, Mpoooooo?
Wamefunikwa, wakakubali na wakasinzia...
Wapi Hemed Rashid? Tangia kikao cha bajeti kimeanza sijawahi tena kuwasikia... wapo?
Angalau yule jamaa wa Lindi Mjini, na yule mama Viti maalum wa Tabora, nimewasikia mara moja.
CUF Vipi, Mpoooooo?
unadhani siasa za BONGO zina tabirika!Wamefunikwa, wakakubali na wakasinzia...
Wapi Hemed Rashid? Tangia kikao cha bajeti kimeanza sijawahi tena kuwasikia... wapo?
Angalau yule jamaa wa Lindi Mjini, na yule mama Viti maalum wa Tabora, nimewasikia mara moja.
CUF Vipi, Mpoooooo?
Kama hatutaki kuangalia hii mifano shauri yetu e.g Augustino Mrema, Tambwe Hiza, Masumbuko Lamwai, Steven Wasira just to mention some few. Jibu la haraka wanasiasa wengine wanaganga njaa once they are in kwishney...
Wapo. Siumesikia wakisema mwenyekiti wa chama chako ni DJ?
mke humweshimu mmewe.
unadhani siasa za BONGO zina tabirika!
hivi unawakumbuka NCCR mwaka 1995...... wafananishe na sasa
halafu piga picha chadema 2025....................!!
(natabiri kama chadema ikiangukia pua 2015..... basi itakuwa kama NCCR story yake!!!!!)