Noma sana! Ukiwa mwizi always play lowπMbona kuna watu tayari walishatoa maoni yao juu ya wizi wake.
View: https://x.com/i/status/1872761387191287982
Naomba hiyo IPhone π
Nani tena ananiita usiku wote huu?
Burudani muhimu na washereheshaji tupo nginja nginja sio shida zetu..!!Kuna watu mnapenda kujipa umuhimu sana, kwanza mimi sina file la media uchwara wowote..!!
Mimi humu nadili na official manyakunyaku ambao huwa wanatuletea wenyewe maubuyu yao wakiparangana huko na wakianza lazima turuke nao..!!
Uzuri wenyewe wanajua mpk mahali pa kukutaniana wapi wazipige..!! Na muda tunapewa..!! (Si mliona kamanda alinitonya muda siku ile) Tunajuana wenyewe πΉπΉπΉ
Burudani muhimu na washereheshaji tupo nginja nginja sio shida zetu..!!
Nyie wengine bado hamjakidhi vigezo endeleeni kujifua mfike UEFA. πΉπΉπ₯π₯
My darling, kuna kitu kinaitwa nguvu ya mvutano
Kawaida negative energy haiwezi kuvuta positive energy
Nikiwa na maana, ulisema umekaribisha wapumbavu wawili kwenye maisha yako
So maana yangu ni kwamba kosa lako lilianza pale ulipomkaribisha huyo mpumbavu wa kwanza, maana ndiye aliyetumia energy yake hasi kumvuta mpumbavu namba 2
Na ukiendelea kuwafuga hao wapumbavu wawili, wataendelea kuvutana mpaka mpumbavu namba 3 aingie ndani π
Haha sijajua mkuu ila maswali yake yalikuwa kutaka kujuana sana na mkishajuana ndio mambo kama hayo yanaibuka jukwaani.Hako ka jamaa kalikua shushu nini π€£
Vijembe vingi na anaogopa hata kukutaja, hahahaNani tena ananiita usiku wote huu?
Ana shida gani na mimi? πΉ
Hebu mwambie awe muwazi afunguke nipo hapaβ¦!!
Ukashtukia mchongo et π€£Haha sijajua mkuu ila maswali yake yalikuwa kutaka kujuana sana na mkishajuana ndio mambo kama hayo yanaibuka jukwaani.
Unashangaa mtu mkipishana kidogo mambo binafsi yanaanikwa.π
Huyu anaweza akakopi hadi Nyetti za Mtu.Mbona kuna watu tayari walishatoa maoni yao juu ya wizi wake.
View: https://x.com/i/status/1872761387191287982
Wewe babu nikikujua nakuja kukuanikaπ πββοΈπββοΈπββοΈNi suala la kujiwekea mipaka kwa kupunguza idadi ya watu wa kufahamiana nao humu
Kuna baadhi hawana vifua kabisa, mkifahamiana nje ya JF, basi lazima atataka marafiki/jamaa zake nao wa humu wakujue
Vijana/Wazee tujifunzeni kuwa na kaba, hakuna mtu kipato chake kitaongezeka kwa kufanyiana umbeya humu
We ukifanikiwa kumfahamu Mzee Grahams nje ya JF, inatosha, sio umwelezee kwa kila mtu
Mnataka tuanze kutelekeza ID's zetu katika Uzee huu tulionao kweli π’
Lakini si unajua nina ugonjwa wa presha mjukuu πWewe babu nikikujua nakuja kukuanikaπ πββοΈπββοΈπββοΈ
Babu jamani kumbe una presha basi nitakusitiri kwanza ule matunda ya wajukuu zako π€ͺLakini si unajua nina ugonjwa wa presha mjukuu π
Hayo mambo sio mazuri kunifanyia mzee wa umri wangu ujue π
πΉπΉπΉ Anitaje aache uoga..!!Vijembe vingi na anaogopa hata kukutaja, hahaha
Dada unapiga spana humu as it should,
Lazima waliopotoka warudi kwenye njia sahihi.
Afadhali, kuna watu wanatufanyia makusudi, anajua kabisa ana siri za mzee Grahams lakini unakuta ndiyo kwanza anaongeza kulewaBabu jamani kumbe una presha basi nitakusitiri kwanza ule matunda ya wajukuu zako π€ͺ
Watu wanalewa na wanajua wana siri za watu shenziiii kabisaAfadhali, kuna watu wanatufanyia makusudi, anajua kabisa ana siri za mzee Grahams lakini unakuta ndiyo kwanza anaongeza kulewa
Nitakufa kwa presha babu yenu π
Burudani muhimu hakuna kupoa km mkojo wa ngedere..!!Burudani muhimu na washereheshaji tupo nginja nginja sio shida zetu..!!View attachment 3588450