Jaman msiwe mnazisema vibaya incubator za watanzania, mimi nmenunua kutoka kwa watanzania incubator ya mayai 1440 na inafanya vizur tu.
Incubator inahitaji umakini wa hali ya juu kabisa. Si ishu ya kukurupuka, na uatomatic haupo katika kugeuza mayai tu. Na kuna vitu vingi ambavyo unatakiwa uvijue b4 ya kununua incubator, hii ni sawa na mitambo ya kumsaidia binadamu kupumua,
Incubator inahitaji umakini wa hali ya juu kabisa. Si ishu ya kukurupuka, na uatomatic haupo katika kugeuza mayai tu. Na kuna vitu vingi ambavyo unatakiwa uvijue b4 ya kununua incubator, hii ni sawa na mitambo ya kumsaidia binadamu kupumua,
Sawa mdau ila hi incubator ambayo mimi naitumia ina huduma zote ambazo wewe mwenyewe ulizichambua kwenye post zako zilizopita hapo juu na kueleza n muhmu kwenye incubator, iwe automatic na forced air incubator. Humidity na temperature regulation vyote n automatic.
aisee mchina na mashine yake iko poa sana
mkuu kama unataka kuagiza incubator china, naeza kukusaidia kwani mimi ni mtanzania nilieko china huku, kitu cha msingi nipe tu specification za incubator unayotaka, then ntakuangalizia gharama zake, then kuhusu kusafirish wala sio tabu (hutaangaika kuilipia bandarini) kwani ukishanunua CBM kwenye container itakayosafirisha (kwani inasafirishwa pamoja na vifaa vingine vya kibiashara), wewe ni kusubiria bongo tu na kuchukua mashine yako, na pia kuhusiana na malipo utailipia itakapofika bongo.
mkuu kama unataka kuagiza incubator china, naeza kukusaidia kwani mimi ni mtanzania nilieko china huku, kitu cha msingi nipe tu specification za incubator unayotaka, then ntakuangalizia gharama zake, then kuhusu kusafirish wala sio tabu (hutaangaika kuilipia bandarini) kwani ukishanunua CBM kwenye container itakayosafirisha (kwani inasafirishwa pamoja na vifaa vingine vya kibiashara), wewe ni kusubiria bongo tu na kuchukua mashine yako, na pia kuhusiana na malipo utailipia itakapofika bongo.
Mkuu umenifurahisha hapo pekundu!
vipi unaweza kunitafutia photocopy machine aina ya Canon IR 2800?? (samahani kwa kutoka nje ya mada)[/QUOTE
kuhusiana na hiyo kulipia bongo (ni kwa sababu kuna mtu mwingine anahitaji hizo incubetor, so wakati wa kumpakilizia naeza add extra one kwa ajili yake, asipokuja kuichukua still itaingia kwenye projrct ya huyo mtu mwingine ndo maana nimepma hiyo option ya kulipia bongo) ebwana kuhusu hiyo Canon IR 2800, inaeza kupatikana, but nakushauri kama unahitaji huku inabidi ununue mpya manake used ya mchina ina mafambaya kutosha tu unaeza tumia kwa mda mchache sana inaaanza kukusumbua (used ya mchina haina tofauti na used ya hapo bongo kwetu, huku wametuzidi tu utunzaji) otherways kama utataka used kutoka japan au uk, naeza kukupa conection na jamaa yuko bongo hapo anajua na kudeal na hizo mambo
mkuu unauhakika halipi Chochote Bandarini? ni hakuna ghalama Bandarini? kwani hilo Kontena lenye vifaa vingine lina kaa bure Badandarini? mkuu kuna Chaji zakufa mtu pale Bandariini, TRA wana kodi ao pale, Bandari wana chao,TBS wana chao pale bado Agent, so si kweli kusema hakuna Malipo pale, VAT inalipwa kama kawaida
Mkuu umenifurahisha hapo pekundu!
vipi unaweza kunitafutia photocopy machine aina ya Canon IR 2800?? (samahani kwa kutoka nje ya mada)
kuhusiana na hiyo kulipia bongo (ni kwa sababu kuna mtu mwingine anahitaji hizo incubetor, so wakati wa kumpakilizia naeza add extra one kwa ajili yake, asipokuja kuichukua still itaingia kwenye projrct ya huyo mtu mwingine ndo maana nimepma hiyo option ya kulipia bongo) ebwana kuhusu hiyo Canon IR 2800, inaeza kupatikana, but nakushauri kama unahitaji huku inabidi ununue mpya manake used ya mchina ina mafamba ya kutosha tu unaeza tumia kwa mda mchache sana inaaanza kukusumbua (used ya mchina haina tofauti na used ya hapo bongo kwetu, huku wametuzidi tu utunzaji) otherways kama utataka used kutoka japan au uk, naeza kukupa conection na jamaa yuko bongo hapo anajua na kudeal na hizo mambo
Tafuta mtu anaitwa kichwa mbovu atakusaidia yupo moro.