Urban86
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 276
- 127
Hongera Kaka kwa hatua hiyo ya kuanza. Makoo 5 si haba kwa kuanzia. Tuchukulie kwamba wametaga wanne kila siku kwa siku 7 utapata mayai 28.(Maana mayai ya kuweka kwenye incubator inashauriwa yasikae zaidi ya siku 7 toka.) Wakitaga wote 5 kwa siku 6 utapata mayai 30.Nina kuku makoo 5 na jogoo wawili ila nina plan ya kununua incubator ili niweze kuongeza uzao kwa haraka na uhakika maana kuna kipindi walitaga mayai mengi ila wakayatotoa machache, je kuna kununua incubator kunaweza kutatua tatizo na kufikia lengo kwa haraka??
Sasa nina incubator ndogo za kuanzia za mayai 36 na 64 ambazo unaweza kuanza nazo.
Incubator ya mayai 36 ni sh 200,000 na ya mayai 64 ni sh 370,000. Zina ufanisi mzuri sana, full automatic, inageuza mayai yenyewe na inaweza kutumia umeme wa tanesco, betri au sola. Picha zake ni hizi hapa chini.
Napatikana ubungo extrnal opposite na shule ya msingi makuburi jeshini au nyuma ya corner lounge bar.
Namba za simu ni 0783095169 na 0755571604
Karibuni sana.
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app