Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mkuu Incubators ziko kwenye kundi la Msamaha wa kodi na hiyo iko wazi, na inajulikana kazi yake ni Kunagulia mayai, ghalama za bandalini ni kweli ziko juu ila haiziwezi fika Milioni zinaangukia kwenye laki 7 mpaka 6

Shukrani mkuu kwa taarifa.na ili kupata msamaha wa kodi hakuna taratibu za kwenda wizara ya kilimo ili wakuidhinishe?na kama ikiwa hivyo si inabidi uwe umekuwa na registered business?vipi kwa mashine za kusagia chakula cha kuku nazo zipo kwenye msamaha??naomba usichoke mkuu kwa maswali
 
Shukrani mkuu kwa taarifa.na ili kupata msamaha wa kodi hakuna taratibu za kwenda wizara ya kilimo ili wakuidhinishe?na kama ikiwa hivyo si inabidi uwe umekuwa na registered business?vipi kwa mashine za kusagia chakula cha kuku nazo zipo kwenye msamaha??naomba usichoke mkuu kwa maswali

Mimi ninavyo jua vitu ambavyo unatakiwa kwenda kudhinishiwa na Wizara ni ile mitambo ambayo inatumika kwenye kilimo na sehemu ambazo si za kilimo, Mfano Generata, Genereta inamsamaha wa kodi endapo tu itathibitika unaenda kuitumia kwa shughuli za kilmo, labda kupukuchulia mahindi na kazalika, Ila mitambo ambayo iko open sizani kama inahitaji kwenda Wizara, mfano, Mashine ya Kupandia Mpunga, au Kinu cha kukamulia mafuta ya alzet

Kuhusu mashine ya chakula cha kuku sijajua ila ukiwa email TRA watakujibu, mimi nili wa email kuhusu Incubators wakanijibu, Ingawa yangu ndo iko Njiani inakuja na kama unavyo jua ni 45 days kutoka China hadi Dar Port.
 
Mimi ninavyo jua vitu ambavyo unatakiwa kwenda kudhinishiwa na Wizara ni ile mitambo ambayo inatumika kwenye kilimo na sehemu ambazo si za kilimo, Mfano Generata, Genereta inamsamaha wa kodi endapo tu itathibitika unaenda kuitumia kwa shughuli za kilmo, labda kupukuchulia mahindi na kazalika, Ila mitambo ambayo iko open sizani kama inahitaji kwenda Wizara, mfano, Mashine ya Kupandia Mpunga, au Kinu cha kukamulia mafuta ya alzet

Kuhusu mashine ya chakula cha kuku sijajua ila ukiwa email TRA watakujibu, mimi nili wa email kuhusu Incubators wakanijibu, Ingawa yangu ndo iko Njiani inakuja na kama unavyo jua ni 45 days kutoka China hadi Dar Port,,


Asante mkuu,yap naelewa inahitaji siku 45 hadi kufika dar port.nitaitafuta email ya tra na kuwasiliana nao ili kuweza kupata ufafanuzi zaidi.shukrani sana
 
Ok,
Ila kama kuna aliye tiyali kuna Incubators ndogo kama tatu nilikuwa naagiza, sasa ishu iko kwenye Usafiri make kwenye Meli wanachaji Dolla 110 na hata ukigiza 10 bei wanayo chaji ni hiyo hiyo so mimi naagiza 3 ila kama kuna walio tiyali tunaweza fanya hivyo ila ni kwenye usafiri tu ili tutumie chansi ya Dolla 110 kusafirisha Mashine 10, Ila ni za mayai 48
 
Ok,
Ila kama kuna aliye tiyali kuna Incubators ndogo kama tatu nilikuwa naagiza, sasa ishu iko kwenye Usafiri make kwenye Meli wanachaji Dolla 110 na hata ukigiza 10 bei wanayo chaji ni hiyo hiyo so mimi naagiza 3 ila kama kuna walio tiyali tunaweza fanya hivyo ila ni kwenye usafiri tu ili tutumie chansi ya Dolla 110 kusafirisha Mashine 10, Ila ni za mayai 48
kaka, je wewe kwenye machine zako unaangua mayai ya watu wengine? if so kwa bei gani? if not, wapi ninaweza pata mtu au taasisi inayoangua mayai ya kuku na ya kanga?
 
kaka, je wewe kwenye machine zako unaangua mayai ya watu wengine? if so kwa bei gani? if not, wapi ninaweza pata mtu au taasisi inayoangua mayai ya kuku na ya kanga?

Mkuu mimi sifanyi hivyo, Ila watu wengi huwa hawapendi hii huduma ya kuangua mayai ya watu wengine kwa sababu wanaona hailipi wengi huwa wanaatamisha ya kwao pekee,

Ila mara nyingi ghalama ya kuangua pekee ni kwenye Buku moja 1000 kwa kila yai, ila ni bora ukawa na Mashine yako mwenyewe hata zile ndogo za Mayai 48 hadi 50 ambazo ni kama 450,000 ambayo ni Automatic
 
aise Chasha iyo machine bado haijafika?

mkuu yangu inaingia leo tarehe 29, so kwenye next weak nitaipata, na kuna zile ndogo za Mayi 50 nilwaagizi watu fulani zinaingia J3 kwa DHL makewaliomba wo wenyewe zitumwe kwa DHL ingawa ni very expensive,
 
mkuu yangu inaingia leo tarehe 29, so kwenye next weak nitaipata, na kuna zile ndogo za Mayi 50 nilwaagizi watu fulani zinaingia J3 kwa DHL makewaliomba wo wenyewe zitumwe kwa DHL ingawa ni very expensive,

Hizo za mayai 50 ni bei gani na bei ya dhl ni ngapi? thanks.
 
Mkuu chasha anaweza anasaidia hizo machine za mayai 50 kwa 450.000 zinapatikana wapi
 
Hizo za mayai 50 ni bei gani na bei ya dhl ni ngapi? thanks.

Mkuu DHL ni very expensive ni around USD 200, mpaka Dar, so nakushauru usbiri kuna ambazo zinafanyiwa process ya kutumwa ambazo ni JN8-48 na mwezi ujao mwishoni zitakuwa zishafika Tanzania

So ukisema uagize kwa DHL mpaka uifikishe Bongo itakuwa imekutoka kilo Sita, hapo ni pamoja na ghalama za kutuma pesa, kusafirisha na bei yake make yenyewe ni around USD 120 plus DHL USD 199 na plus USD 29 za kutuma pesa hapo ni kwa Western Union ila kwa CRD ni zaidi ya hapo kwa mabenki mengine mimi sijui
so utaona inakuja kwenye 567,240/ na wale jamaa ukiagiza moja bei ni tofauti na ukioagiza 10 ila kwa Njia ya Meli ni very Cheap kwa sababu wanachaji kwa CBM
 
Mkuu chacha mimi nataka hiyo ya kuku 50 kuagiza,kuisafirisha mpaka kuitoa onacost tsh?kuisafirisha kwa njia ya meli

Kwa njia ya meli kusfirisha Incubator moja ya mayai 50 itakuwa ni hasara kubwa sana kwa sababau wanachaji kwa CBM na bado kuna pesa ya TRA, AGENT na kazalika so utaona kwamba kusafirisha Mashine moja kwa Njia ya Meli ni cheap kuliko DHL ila hapo Bandalini so utajikuta hata aliye safirisha kwa njia ya DHL umemezidi mbali kwa sababau badalini kuna TRA, kuna sijui watu gani na kuna Agent wa kuitoa so inafika around laki 6 na zaidi na bado itakuwa imekaa 45 days majini

Kwa DHL bado ni nzuri iwapo una haraka na DHL haina usumbufu kwa sababu ni moja kwa moja hadi mlangoni tofauti na hata EMS ambao ni lazima ukutane na TRA na uzuri wa DHL wao wanafanya kila kitu wewe ni kupokea tu kuliko ya bandalini mara uambiwe systema ni mbovu, mara TRA wanataka kukadiria VAT mara sijui nini
 
Na kama nilivyo sema hapo mwanzo unapo taka kuchagua Incubators zingatia mambo makuu kama Matatu hivi

1. Automatic au Manual- Mashine ambazo ni automatic ni nzuri sana kwa sababau zinakurahisishia kazi kuliko ambazo ni manual turining

2. Forced Air Incubators

Hii huwa nafeni kwa ndani na hiyo feni husaidia kutawanya joto kwenye mayai, na uzuri wa Forced Air incubators ni kwamba hata Joto ikizidi haitaharibu mayai kwa sababu feni inasaidia kupunguza hilo joto,

Na hii ndo Bora zaidi kwa sababu feni husaidia sambaza joto na humidity ndani ya mashine

3. Still- Air Incubators

Hii haina feni, na inategemea Contro za Nje, so kwa hii aina ni lazima mtu awe karibu na mashine 24 hour ili kucheki, lakini kwa ile aina ya kwanza ukiwa na uhakika na umeme na ukawa umeongeza maji ya kutosha kwenye mashine unakuwa hauna haja ya kuwepo muda wote


Hizi ndo aina kuu za Incubators na unapo enda kununua incubator hakikisha unajua hili, make mara nyingi katika ununuzi wa Incubators unatakiwa kutambua hiyo.

Na kwa ishu ya Power nyingi za hizi kubwa kutoka China zina sehemu ya kutumia Gesi kama altenative energy ila unapo tumia gesi maana yake hata kama Incubators ilikuwa ni Automatic itabidi ubadilishe mayai kwa mkono au manual kwa sababu gesi inakuwa haifui umeme bali inasaidia katika kutoa joto kwa incubators
 
Incubator ya kuangulia vifaranga 600 used na mpya bei yake vipi naomba mchango wenu wana jf kwa wenye uzoefu ktk hilo na efficiency yake.
TUNAWEZA KUWASILIANA KWA honestaugustine@yahoo.com
ukiona machine kwa macho yako ndiyo vyema zaidi maana na kuwa na experiance na machine hizi ndiyo kitu cha msingi. Sisi tunakuletea mzigo niwewe kuleta gari na kubeba tu.

Ukitaka mfano ya watu walionufaika na sisi tunaweza kukupa bei zetu ni kama zilivyoainishwa hapo chini asante, na karibu tena.
bongo farm.JPG
 
TUNAWEZA KUWASILIANA KWA honestaugustine@yahoo.com
ukiona machine kwa macho yako ndiyo vyema zaidi maana na kuwa na experiance na machine hizi ndiyo kitu cha msingi. Sisi tunakuletea mzigo niwewe kuleta gari na kubeba tu. Ukitaka mfano ya watu walionufaika na sisi tunaweza kukupa bei zetu ni kama zilivyoainishwa hapo chini asante, na karibu tena.

Kwa hizo za kuanzia 88 Nairobi ni Cheap kuliko hata ukiweka transportation cost, from Nairobi to Dar hiyo ya mayai 888 ambazo tumeagiza za mayai 1500 bado ni cheap sana na haifikii hiyo bei ya 888 pamoja na ushuru wa VAT na plus kutoa Bandalini, all in all mtu kuagiza mwenyewe ni very cheap kuliko kununua iliyo agizwa kwa sababu hata wale wachina wa Dar wanao uza za aina hiyo bado ni ghali sana na kuagiza moja kwa moja hiyo ya mayi 888 mtu anaweza save hadi laki Tano, au uongo,

Ila napo ni vizuri pia kwa sababu ukiagiza ni lazima uuze kwa profit huwezi agiza kwa One milin ukaja kuuza kwa One Milion
 
Kama unataka ni Kuunganishe na jamaa wa China hawana shida kabisa unapata bila tatizo na unaweza Chagua njia ya Kutumiwa kama ni Ndege au Meli, Ila kwa Ndege ni Ghali kidogo, Jamaa nafanya nao Business so hawana tatizo kabisa na hakuna Usanii hata kidogo

Mkuu Chasha naomba contact details za hao wachina niwasiliane nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom