Zote three phase japo single phase unaweza kutengenezewa ila husumbua umeme ni mdogo karibu sanaZipo mashine zunazotumia single phase au zote ni three phase?
Hapana nduguHiyo laki5 na vibao vyake?
Mkuu ntalata za tofali used?Zote three phase japo single phase unaweza kutengenezewa ila husumbua umeme ni mdogo karibu sana
Sijakuelewa hili mkuuMkuu ntalata za tofali used?
Kuna mashine za tofali la simenti zenye matundu?
Unaposema mashine na vibao vyake unakuwa unamaanisha nini?Hapana ndugu
Bro
Hii bei gani mkuu?Mashine za juisi ya miwa ikiwa na droo moja View attachment 1818138
Mashine gani nduguKwa mwenye kujua zinapopatikana ofisi za Mashine hizi
Tafadhali naomba anijuze
Shukran
Mashine ya Tofauti na sehemu mnapopatikana Ndugu.Mashine gani ndugu
NATAFUTA YA HOLLOW BLOCKS, TOFALI ZA NCHI TANO YENYE MATUNDU MWILI YA SQUARE KATI.Mdau karibu kwa mashine call/sms 0717209569
MASHINE ZA TOFALI
Mashine za tofali za mkono utazipata kwa laki tano tu (500000)
Mashine za umeme zimegawanywa kutokana na uwezo wake
Mashine ya tofali moja ni million mbili na nusu (2.5m)
Mashine ya tofali mbili kwa wakati mmoja million mbili na laki saba tu (2.7m)
Mashine ya tofali nne million kumi na mbili
Na mashine ya tofali nane million 26 tu
Pia zipo za udongo hizi manual laki saba na nusu tu
Na umeme million nne tu tofali kubwa
Zipo za paving pia manual laki saba na nusu tu
Umeme inakuwa na maua manne ni million tatu na nusu
Mixer pia zipo kuanzia nusu mfuko hii 3.5m
Robo tatu 4.5m
Mfuko mzima 5.5m
Rahisisha ujenzi wako kwa kuzipata hizi mashine imara na bora 0717209569
Mashine ambayo hatuna tuulize tutakujibu
Wale wasio na umeme ipo ya mafuta 4m tu karibuni sanaView attachment 1020420View attachment 1020421View attachment 1020422View attachment 1020423View attachment 1020424View attachment 1020425View attachment 1020426View attachment 1020427View attachment 1020428
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana boss utazipata kwetu upo wapiNATAFUTA YA HOLLOW BLOCKS, TOFALI ZA NCHI TANO YENYE MATUNDU MWILI YA SQUARE KATI.
Twende pamoja pia kwa msaada wa wengine, unauza kiasi gani?Karibu sana boss utazipata kwetu upo wapi
sh ngapi hii
Mdau karibu kwa mashine call/sms 0717209569
MASHINE ZA TOFALI
Mashine za tofali za mkono utazipata kwa laki tano tu (500000)
Mashine za umeme zimegawanywa kutokana na uwezo wake
Mashine ya tofali moja ni million mbili na nusu (2.5m)
Mashine ya tofali mbili kwa wakati mmoja million mbili na laki saba tu (2.7m)
Mashine ya tofali nne million kumi na mbili
Na mashine ya tofali nane million 26 tu
Pia zipo za udongo hizi manual laki saba na nusu tu
Na umeme million nne tu tofali kubwa
Zipo za paving pia manual laki saba na nusu tu
Umeme inakuwa na maua manne ni million tatu na nusu
Mixer pia zipo kuanzia nusu mfuko hii 3.5m
Robo tatu 4.5m
Mfuko mzima 5.5m
Rahisisha ujenzi wako kwa kuzipata hizi mashine imara na bora 0717209569
Mashine ambayo hatuna tuulize tutakujibu
Wale wasio na umeme ipo ya mafuta 4m tu karibuni sanaView attachment 1020420View attachment 1020421View attachment 1020422View attachment 1020423View attachment 1020424View attachment 1020425View attachment 1020426View attachment 1020427View attachment 1020428
Sent using Jamii Forums mobile app