Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,914
jamani wana jamvi,
nilinunua kuku wa kienyeji kama 40 hivi kijijini. Sasa wameanza kutanga kwa fujo kweli. Lengo niwe na kuku wengi , shida kila anayetaka kuatamia wengine wanamfanyia fujo. Nimesikia kuna mashine za kutotolea vifaranga mwenye taarifa kamili please pm me asap. Mbarikiwe sana
nilinunua kuku wa kienyeji kama 40 hivi kijijini. Sasa wameanza kutanga kwa fujo kweli. Lengo niwe na kuku wengi , shida kila anayetaka kuatamia wengine wanamfanyia fujo. Nimesikia kuna mashine za kutotolea vifaranga mwenye taarifa kamili please pm me asap. Mbarikiwe sana