Hayo ni madhara ya uvutaji wa SIGARA mkuu sio BANGE , BANGE HAINA MATATIZO MKUU
Hayo ni madhara ya uvutaji wa SIGARA mkuu sio BANGE , BANGE HAINA MATATIZO MKUU
Hivi kwa nini wavuta bangi wengi ni vibaka, majambazi? Wanaotumia bange ni wahalifu
bangi inatibu nini? mods hebu futa hii thread ya wahalifu
Hakukamati mtu.......si unaonyesha tiketi kwamba unaenda kutangaza nchi.........mpaka bendera utapewa............hii ni Tanzania bana.........
Inayowafanya watu wapige push up jukwaaniwangeruhusu tupeleke hii ya kwetu
ndiyo maana yakeInayowafanya watu wapige push up jukwaani
Hahahaha pata like yangu mkuu bangi mmra uliotakaswa.Bangi ni tiba, bangi ni starehe, bangi ni ibada na mwisho bangi SIO madawa ya kulevya. Mtoto koma!