Wahalifu wa Escrow na EPA na kwingineko ni wavuta bangi?
Jani limemgeuza my braza kuwa nusu chizi akivuta nyumbani hatulali akiwa hajavuta mpore mpaka huruma, i hate bang i hate wavutaji i hate wauzaji...!
Mkuu, Msumbiji ndio mwisho. Huwa mbuzi wanakalishwa siku nne bila kula, kisha wanafunguliwa kwenye shamba la majani... Wakikata gogo mbegu zake ndio mpango mzima. Mtoto hatumwi sokoni...Upate kitu cha Zaire ndio komesha,kinakaa wiki nzima Kichwani,hata ukipiga fegi tu chenyewe kinaamka kichwani,
Onyo;
Uvutaji Sigara na Bangi ni hatari kwa Afya!!