hata wew komwe unalo na hatusemi
acha kuingilia uumbaji wa mungu
Pamoja na kua na mambo mengi hivi bado unafatilia haya mambo!????Haya mashindano ya miss Tanzania kwa sasa ni takataka kabisa , binti ana masikio kama popo au kama ya min hapa anashinda ,eti awe anajua kingereza tu , takataka kabisa.
Mtu ana komwe lakutisha anashinda eti🤔, mashavu kama puto nae anaibuka na ushindi kabisa🤣
Waandaaji wa hayo mashindano wajifunze wa India, ufilipino na American .
Mtu kuwa mweusi sio kigezo cha kushinda miss Tanzania nyumbu nyie , tutawakumbuka sana kina faraja kota na wema sepetu enzi zao🥲
lazima ujitetee hapa kwa sababu hawakuoni😅Hahahaha japo sina komwe ila mimi mashindano ya miss Tanzania nahusikaje sasa😅
Mtu ana komwe lakutisha anashinda eti🤔, mashavu kama puto nae anaibuka na ushindi kabisa🤣Bwashee nimesema uongo?
hata kama ni dume sio sababu ya wew kutokuwa na komweMimi sio mwanamke ni dume tena la mbegu, na watoto wangu wa kike na zalisha warembo tu gademitt 😅
kama lako🤣🤣🤣🤣Wewe sio bure una komwe😆