Mashetani na namba za simu.

Mashetani na namba za simu.

Joined
Apr 2, 2011
Posts
42
Reaction score
18
Hellow wana JF. Jamani kuna tetesi kwamba hapa nchini kwetu kuna namba za simu ambazo humilikiwa na mashetani ambapo ukizitumia kwa maana ya kuzipiga wanapokea. Hii imetokea mtaani kwe2 baada ya kijana mmoja jirani kujikuta akiwa matatani kwa kusumbuliwa na watu asiowajua usiku huku wakimpa pesa, na hii yote ni sbb ya ku2mia namba flani ya cm kama asemavyo yeye. Jamani kama kuna m2 amewahi sikia kitu kama hiki atufumbue macho mie yamenishinda.
 
Hellow wana JF. Jamani kuna tetesi kwamba hapa nchini kwetu kuna namba za simu ambazo humilikiwa na mashetani ambapo ukizitumia kwa maana ya kuzipiga wanapokea. Hii imetokea mtaani kwe2 baada ya kijana mmoja jirani kujikuta akiwa matatani kwa kusumbuliwa na watu asiowajua usiku huku wakimpa pesa, na hii yote ni sbb ya ku2mia namba flani ya cm kama asemavyo yeye. Jamani kama kuna m2 amewahi sikia kitu kama hiki atufumbue macho mie yamenishinda.

tuambie wewe ambae yamekutokea mtaan kwako,
 
mmmh...kwa kweli mie hata sijui haya mambo hua tyanatokeavip...mie naogopa! ila personaly sijawahi ku sense majini i think ni hofu tu...na kwa technologia hii kuna usanii mwingi watch out!
 
Maria Roza umeniacha hoi, unamtuma mwenzio aulize chumba cha kulala wageni jela
 
ni uvumi tu,i personaly once owned a number with six zeros sasa watu wakawa wanapiga ten zeros,xxxx-0000000000 na offcourse inaingia maana inachukua zile first six digits
basi nikipokea wanasema jini limepokea wanaomba pesa au wanaomba uwatabirie maisha,simu nyingi zilikuwa from mwz,shy,zbr na mikoa ya pwani.hakikia ilikuwa usumbufu wa hadi 400 calls per day ikabidi niache kuitumia kwani hata ukitaka kurecharge voucher huwezi kwa jinsi wanavyopiga
 
ni uvumi tu,i personaly once owned a number with six zeros sasa watu wakawa wanapiga ten zeros,xxxx-0000000000 na offcourse inaingia maana inachukua zile first six digits
basi nikipokea wanasema jini limepokea wanaomba pesa au wanaomba uwatabirie maisha,simu nyingi zilikuwa from mwz,shy,zbr na mikoa ya pwani.hakikia ilikuwa usumbufu wa hadi 400 calls per day ikabidi niache kuitumia kwani hata ukitaka kurecharge voucher huwezi kwa jinsi wanavyopiga

ril?? Kweli watz tunapenda maisha mteremko. Yaani wanapiga simu kuomba pesa toka kwa jini?
 
huu ni uongo, mmimi nakumbuka kulikuwa na hicho kitisho na mimi nikazipiga hizo namba, hakuna kitu wala nini
miafrika ndivyo tulivyo
 
Mimi nawasiliana nao vizuri 2.nimetoka kuwatakia pasaka njema hv punde tu.wanakusalimia sana
 
Nimeongea nao kwa sasa wako samunge kwa babu wananyonya damu za watu!
 
Hellow wana JF. Jamani kuna tetesi kwamba hapa nchini kwetu kuna namba za simu ambazo humilikiwa na mashetani ambapo ukizitumia kwa maana ya kuzipiga wanapokea. Hii imetokea mtaani kwe2 baada ya kijana mmoja jirani kujikuta akiwa matatani kwa kusumbuliwa na watu asiowajua usiku huku wakimpa pesa, na hii yote ni sbb ya ku2mia namba flani ya cm kama asemavyo yeye. Jamani kama kuna m2 amewahi sikia kitu kama hiki atufumbue macho mie yamenishinda.


Sasa mkubwa si ukamuulize huyo jirani yako hizo namba alizopiga ili na wewe uwe unaletewa pesa!!
 
ni uvumi tu,i personaly once owned a number with six zeros sasa watu wakawa wanapiga ten zeros,xxxx-0000000000 na offcourse inaingia maana inachukua zile first six digits
basi nikipokea wanasema jini limepokea wanaomba pesa au wanaomba uwatabirie maisha,simu nyingi zilikuwa from mwz,shy,zbr na mikoa ya pwani.hakikia ilikuwa usumbufu wa hadi 400 calls per day ikabidi niache kuitumia kwani hata ukitaka kurecharge voucher huwezi kwa jinsi wanavyopiga
Dah!!!
 
Hellow wana JF. Jamani kuna tetesi kwamba hapa nchini kwetu kuna namba za simu ambazo humilikiwa na mashetani ambapo ukizitumia kwa maana ya kuzipiga wanapokea. Hii imetokea mtaani kwe2 baada ya kijana mmoja jirani kujikuta akiwa matatani kwa kusumbuliwa na watu asiowajua usiku huku wakimpa pesa, na hii yote ni sbb ya ku2mia namba flani ya cm kama asemavyo yeye. Jamani kama kuna m2 amewahi sikia kitu kama hiki atufumbue macho mie yamenishinda.

Hicho kitu hakipo ni uzushi hatakwetu waliwai zusha mf 11111111111walisema ni yamashetani kwenye hizo namba zinazofanya kazi 111 zinazo fatia hazinakazi hiyo ni namba ya dhalura polis jalibisha namba yako ongeza namba mbele utakuta inaita
 
ril?? Kweli watz tunapenda maisha mteremko. Yaani wanapiga simu kuomba pesa toka kwa jini?
Ni kweli Graca...mtu anapiga ukipokea anakwambia kesho anasafiri kibiashara umtabirie safari yake,walikua wananiacha hoi kwa kweli
 
Back
Top Bottom