Haaaa! haaaa! haaaa! wanawake mnashida tabu yote ya nini? Ebu fikilia ndo upo na mtu wako kwa siku ya kwanza mnataka kutupiana vitu inafika kipindi cha kuchojoana nguo unakuta mambo kama hayo loooooooh! Aibu gani hiyo
Haaaa! haaaa! haaaa! wanawake mnashida tabu yote ya nini? Ebu fikilia ndo upo na mtu wako kwa siku ya kwanza mnataka kutupiana vitu inafika kipindi cha kuchojoana nguo unakuta mambo kama hayo loooooooh! Aibu gani hiyo
Mbona kujipa shida tu huko, hakuna jambo zuri kama mtu kukupenda jinsi ulivyo. wadada mungu hakunyimi vyote, kama mbio za hipsi zilikushinda basi za face ulifanikiwa, hakuna anayenyimwa vyote. ishi kwakujiamini khaaa!!!
Mbona kujipa shida tu huko, hakuna jambo zuri kama mtu kukupenda jinsi ulivyo. wadada mungu hakunyimi vyote, kama mbio za hipsi zilikushinda basi za face ulifanikiwa, hakuna anayenyimwa vyote. ishi kwakujiamini khaaa!!!
My wadada hawajui kuwa uzuri kila mwanamke anao. kujiami peke yake ni uzuri kwangu, jambo la msingi ni kujua kupangilia mavazi, kujua mtindo gani unakufaa kichwani, nywele fupi au ndefu, na kujiamini. hivo tu kwangu ni uzuri. napenda mwanamke akiwa simple. sio mwanamke kajiongeza hadi kawa kama jini. hujiamini nini????????????