kuna watu kawadanganya kila mwanaume anaangalia kalio
Sio makosa yao.....
Sidhani kama kuna mwanaume rijali wa kiafrika au black American asiyependa hips na huo ujazo wa nyuma,
Labda wahindi,chinese na japanese tu,na ni vile gals wao hawajajaliwa.
Hongeraaa...hata hivyo umependeza mweeeeee.
ni kukosa tu kujiamini na kile ulicho jaaliwa,uzuri wa mwanamke hauko kwenye makalio bali kwenye akili yake...