miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
well said .. kabisa yani unakuwa mwaaaaaMy wadada hawajui kuwa uzuri kila mwanamke anao. kujiami peke yake ni uzuri kwangu, jambo la msingi ni kujua kupangilia mavazi, kujua mtindo gani unakufaa kichwani, nywele fupi au ndefu, na kujiamini. hivo tu kwangu ni uzuri. napenda mwanamke akiwa simple. sio mwanamke kajiongeza hadi kawa kama jini. hujiamini nini????????????