Mashepu na vishepu

Mashepu na vishepu

Hii tabia madada wa hapa mjini wanayo kweli, na mimi nimewahi kuwashuhudia wawili wenye tabia hiyo.
 
Hii dunia ina ulevi mwingi sana
 
duh! hii kali, lakini dadazangu wakati mwingine tunavyopendaga sisi sio mishape, mengine kabisa.
 
Duh lishepu la hivi mbona taabu hata kutembea lkn bora hii kuliko kutumia madawa yana madhara mengi
 
Haaaa! haaaa! haaaa! wanawake mnashida tabu yote ya nini? Ebu fikilia ndo upo na mtu wako kwa siku ya kwanza mnataka kutupiana vitu inafika kipindi cha kuchojoana nguo unakuta mambo kama hayo loooooooh! Aibu gani hiyo
 
hao wakienda choon wanachukua dk 45,unaweza fikiri anajisaidia saizi ya kujaza sinki kumbe anatupia tena na tana vitambaa
 
Haaaa! haaaa! haaaa! wanawake mnashida tabu yote ya nini? Ebu fikilia ndo upo na mtu wako kwa siku ya kwanza mnataka kutupiana vitu inafika kipindi cha kuchojoana nguo unakuta mambo kama hayo loooooooh! Aibu gani hiyo

They know well how to play the game
 
Mbona kujipa shida tu huko, hakuna jambo zuri kama mtu kukupenda jinsi ulivyo. wadada mungu hakunyimi vyote, kama mbio za hipsi zilikushinda basi za face ulifanikiwa, hakuna anayenyimwa vyote. ishi kwakujiamini khaaa!!!

Exactly yes twin umeongea point nzito sana na ya kweli...bravo!
 
kuna watu kawadanganya kila mwanaume anaangalia kalio

My wadada hawajui kuwa uzuri kila mwanamke anao. kujiami peke yake ni uzuri kwangu, jambo la msingi ni kujua kupangilia mavazi, kujua mtindo gani unakufaa kichwani, nywele fupi au ndefu, na kujiamini. hivo tu kwangu ni uzuri. napenda mwanamke akiwa simple. sio mwanamke kajiongeza hadi kawa kama jini. hujiamini nini????????????
 
Back
Top Bottom