Masheikh wako wapi? Nchi inapotea

Masheikh wako wapi? Nchi inapotea

Mkuu,lazima watokee watu wakujitolea muhanga,Nchi yenye raia wenye nidhamu ya woga,haiwezi kuendelea hata siku moja,maedeleo yanakuja kutokana na uhuru wa kujiamulia,uhuru wa kufikiri,uhuru wa kuchangia
walishaongea sana mkawachochea na mkawaita magaidi kwa sasa wako jela, zamu ya wazee wa upako waongee na wao tuangalie kama wataenda segerea wasipopelekwa na dalili zinaonesha ni untouchable na hawapelekwi basi tutajua cha kufanya hii nchi ni yetu sote usitupangie.
 
Bakwata watajengewa na nan ofisi zao...watu wanaangalia kula tu
 
Masheikh wanayakumba mengi kwasababu waumini,au wafuasi wako kama wewe waoga,uoga ni adui wa maendelo,kumbuka unazaliwa,unaishi,unakufa

Wakati wa kuishi ndio wakati wa kuamua unataka kuishi vp,kama utaishi kutokana na matakwa ya mtu fulani basi ujue huko sawa,waislam wanaishi kwa kufuata matakwa ya watu fulani,na ndio maana hawawezi kufanikiwa hapa Tanzania katika kuishi kama waislam wanavyotakiwa kuishi...
Wewe ambae sio muoga endelea kukosoa waache mashaikh wetu wapumzike. Tafuta glisi nyingine. Sisi tuna akili nyingi kuliko unavyodhani tunajua nani anafanya vizuri na nani anafanya hovyo akosolewe na kwa muda gani so usitupangie. Mambo ya kukosoa kamwambie Lissu.
 
hatuna mda....izame kabisa chini ya bahari........Hata Mungu kaamua kutupotezea maana hatuna akili
 
MTOA MADA nenda Magerezani kafanye Sensa ya Masheikh Vs Maaskofu/wachungaji pia uulize kwann wako huko THEN njoo tena Upost Huu UTUMBO wako.
 
Majani ya chai ya Ikulu hayana tofauti na yale ya Mufindi - Askofu mkuu sana Zachary Kakobe
 
Nawaaminia sana waislam, wakiamua moto wake so mdogo. Lkn hilo jengo la ghorofa tatu la BAKWATA ndiyo kikwazo kwa sasa. Labda mpk likiisha.
 
Tatizo wengi wanapenda mialiko ya ikulu. Wanajua ukipalisha sauti tu, mkulu atakualika chai na tositi za ikulu na kuuza sura kwenye TV saa 2 ucku. Mtu kama kakobe hababaishwi na ujinga huo.Amukeni wacha mungu timizeni wajibu wenu wa kuubili haki nchini.
 
Wewe ambae sio muoga endelea kukosoa waache mashaikh wetu wapumzike. Tafuta glisi nyingine. Sisi tuna akili nyingi kuliko unavyodhani tunajua nani anafanya vizuri na nani anafanya hovyo akosolewe na kwa muda gani so usitupangie. Mambo ya kukosoa kamwambie Lissu.

Nimekusoma mkuu,watu kama nyinyi wako wengi sana hapa Tanzania, alimradi yako yanakuendea kwahiyo hujali ya wengine,wengine wamefika hata kusema kuwa watanzania "bora tufe njaa" lakini kitu fulani kisifanyike..,kwasabu yeye aliesema hawezi kufa njaa,system inamlinda

Waislam ni tabaka la pili Tanzania,kwasabau masheikh wetu wanatuangusha,huo ndio ukweli wenyewe,inawezekana hawaseni wamekaa kimya kwasabu wanaogopa mkono wa serikali ambayo inawabana sana, basi Kama wao wanaogopa basi wawaunge mkono wakristo katika hizi harakati za kuondoa udikteta Tanzania
 
Masheikh wanaogopa, kila wakiwaangalia wenzao wanaoozea magerezani hasa Hawa bakwata wao kila kitu wako upande WA serikali
Kweli mkuu,lakini kam waislam wamesimama kijasiri kuwatetea wenzao walioko jela naamini serikali ingeligeuza msimamo wake,msimamo wa kuaona watanzania wenye imani ya kiislam ni magaidi,ijapokuwa wao ndio walioleta uhuru wa nchi hii
 
Mashekh wanaliangalia hili pambano vizuri tu, hahahahaaaaaa!!!
 
Uchawi wa hawa Masheikh wewe wape Ubwabwa tu.
 
Makafiri wanafki sana nyie,pambaneni na mkatoliki wenu huyo sisi tukiongeaa si tunauwawa kabisa kama ponda tu alikua anatetea mali za waislamu alipigwa risasi leo tumuongelee raisi tena raisi huyu tufwee..
Acha uoga maamuma....Muhammad hajafundisha uoga
 
Makafiri wanafki sana nyie,pambaneni na mkatoliki wenu huyo sisi tukiongeaa si tunauwawa kabisa kama ponda tu alikua anatetea mali za waislamu alipigwa risasi leo tumuongelee raisi tena raisi huyu tufwee..
Daaah...
 
Back
Top Bottom