Masheikh wa Uamsho

Masheikh wa Uamsho

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo waachwe wasichukuliwe hatua kisa tu wanatumia mwamvuli wa dini kuingiza ugaidi?? Sheria haiwezi kuwatetea magaidi
Wewe kwa akili zako ni hatua gani ambazo wamechukuliwa? Je kuwekwa rumande over the years hizo ni hatua? Mahakama zinafanya kazi gani?
 
Hakuna mtu anayesema waachiwe... Ila kuendelea kuwashikilia bila kuwapeleka mahakamani siyo sawa pia...

Kama kweli wana makosa ni kwanini hawapelekwi mahakamani?
Makosa yao ndio yanawafanya waendelee kusota ndani.Kinachoangaliwa ni usalama wa nchi na sio nafasi zao kwenye jamii.Umesema ni zaidi ya miaka sita Sasa hivi ujiulizi aliyewaweka ndani ni muislamu mwenzao rais wa awamu ya nne yeye hakutambua nafasi zao kwenye jamii?Kwa Nini wengine wapate msamaha mpaka wahujumu uchumi lakini wao bado? Mashekhe wako wengi Tena wengine wakosoaji wa serikali lakini wanadunda tu,kwa nini iwe wao?Waligusa sehemu sio.Usiongozwe na mihemko chukua muda tafakari.
 
Kuna watu ndugu yangu humu wanatetea ujinga sana
Hakuna mtu anayesema waachiwe... Ila kuendelea kuwashikilia bila kuwapeleka mahakamani siyo sawa pia...

Kama kweli wana makosa ni kwanini hawapelekwi mahakamani?
 
Huyo jamaa ndio wale ambao wanaamini mtu akituhumiwa kuwa mwizi basi apigwe mawe mpaka afe... then achomwe moto...
Kwa katiba yetu ni mahakama pekee inayotakiwa kutoa hukumu na sivingenevyo. Sasa wewe umesha wahukumu na kuwapa adhabu, hiyo si sawa.
Kikwete haendeshwi na uisilamu pekee, alitakiwa yeye na baadae JPM wahakikishe hawa watu wanapelekwa mahakamani na kesi inaendeshwa kwa mchakato wa haki, hukumu ipatikane. Hiyo ndiyo due process of law.
Wewe nina wasiwasi ndio unaeongozwa na hihemko kwani unatupilian mbali sheria zetu na kuwahukumu watu kwa hisia. Huoni hata umuhimu wa wao kupitia mkondo wa sheria zetu.
 
Hata wewe siku ukituhumiwa kuwa gaidi ukae rumande milele amina...
Kweny kiapo cha urais wa kikwete kilisema , alisema "nitailinda amani ya nchi kwa hali na mali "
Ao jamaa zako waligusa "kiapo cha urais wa kikwete " kwa maana ya kwamba walitaka kupindua kiapo chake , so zawadi hyo

Wasahauni tu .
 
Hao ma ustaadh hata siku za kesi yao ni shida... Kuanzia kutolewa huko mahabusu waliko mpaka kusomewa kesi na kurudishwa...
Nimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
 
!
!
Kukaa tu ndani kwa muda wote huo bila kupelekwa mahakamani ni mateso tosha. Unataka watesweje zaidi ya hapo.
Wapi nimesema wateswe? uwe unasoma comment na kuzielewa vizuri kabla hujaamua kujibu lolote,rudia tena kusoma comment yangu #46 uliyoiquote.
 
Hakuna mtu anayesema waachiwe... Ila kuendelea kuwashikilia bila kuwapeleka mahakamani siyo sawa pia...

Kama kweli wana makosa ni kwanini hawapelekwi mahakamani?
Watapelekwa ushaidi ukikamilika.Kesi Kama hizo lazima zichelewe kwa sababu ya kutafuta chanzo.
 
Inawezekana bado wanachembechembe za kuhatarisha amani ya nchi ndiyo maana bado wanashikiliwa huko
 
Nimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
Zanzibar pametulia kwa sasa, ule ujinga wa kuchoma makanisa na kumwagia watu tindikali umeisha. Pamoja na baadhi ya shutuma anazopewa JPM, kuna mambo yamenyooka vizuri kwa sasa.
 
Umechanganya,,uamsho walikuwa wamebase Zanzibar na tatizo lilianza walipoanza kuniingiza kwenye siasa na kuhoji muungano,kabla ya Happ,uamsho ilikuwa ni taasisi yenye Hadi registration Kama sikosei
Hata kwa sasa wakiachiwa watakuwa wamejifunza vizuri mipaka iliyo kati ya dini na siasa.
 
Kama kuna anayejiita muislam huku akifurahia utawala wa ccm basi huyo ni ibilisi shetani.Masheikh wapo zaidi 2000 katika magereza mbalimbali kwa kesi za ugaidi wengine wamefichwa tuu
FaizaFoxy
Ritz
Uzuri ustaadhi mwenzao Kikwete ndiye aliyewaweka ndani uamsho.
 
Huu ni uzwazwa wa kiwango cha standard gauge. Kwanini walikamatwa kama ushahidi haujakamilika? Kwa hiyo huo ushahidi usipokamilika ndio watashikiliwa milele?

Hebu tumia akili zako hata kidogo basi...
Watapelekwa ushaidi ukikamilika.Kesi Kama hizo lazima zichelewe kwa sababu ya kutafuta chanzo.
 
Zanzibar pametulia kwa sasa, ule ujinga wa kuchoma makanisa na kumwagia watu tindikali umeisha. Pamoja na baadhi ya shutuma anazopewa JPM, kuna mambo yamenyooka vizuri kwa sasa.
Kwa hiyo wewe unaona ni sahihi tu hao watu kuendelewa kushikiliwa kwa miaka mingi bila kupelekwa mahakamani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom