Masheikh wa Uamsho

Masheikh wa Uamsho

Status
Not open for further replies.
Miungu watu wabaya sana. Hii kesi hata haifanyiki wamewaweka huko mahabusu sijui mwaka wa ngapi sasa. Utawala bora Tanzanian style. Yaani kwa data za leo mahabusu ni wengi kuliko wafungwa.

Hawa mashehe acha tu waendelee kukaa rumande. Tuna amani wakiwa mahabusu. Waislamu na mashehe wa kawaida na hata mapadre hawauawi. Wakae tu ndani kwa amani ya Zanzibar
 
Hawa mashehe acha tu waendelee kukaa rumande. Tuna amani wakiwa mahabusu. Waislamu na mashehe wa kawaida na hata mapadre hawauawi. Wakae tu ndani kwa amani ya Zanzibar
Aah Amani tena-napata wasi wasi pale watu wanapolilia amani lakini sio haki.
 
Huu ni uzwazwa wa kiwango cha standard gauge. Kwanini walikamatwa kama ushahidi haujakamilika? Kwa hiyo huo ushahidi usipokamilika ndio watashikiliwa milele?

Hebu tumia akili zako hata kidogo basi...
Mkuu mgekuwa na chembe ya kufikiri hii leo tusingekuwa tunajadili hili.Kinachowagharimu Mashekhe we ukijui?Taifa linataka kuwa moja wewe unahubiri utengano,Wao ni watu wa Mungu basi wahubiri neno la Mungu.Wao sio wasemaji wawazanzibar,siku nyingine viongozi wa dini waweze kutenganisha Siasa na Dini.Gwajima yalitaka kukumkuta ya hao Mashekhe akarudi kwenye mstari mapema.Siku nikiingia Mimi madarakani mtakufa wengi kwa hii michezo yenu.Lazima tuwe na mipaka na Uzalendo.
 
Kuna namna ya kusema ila tofautisha kati ya mtu anayekemea na anayehamasisha au kushiriki vitendo vya kigaidi.
Kwa waislamu kuna mipaka kati ya dini na siasa lakini kwa kanisa wao ruhusa kusema chochote kile fuatilia kanisa la kkkt
 
Vladimir Putin aliwahi kusema suala la kuwasamehe magaidi ni la Mungu, ila yeye atawapeleka tena kwa haraka ili wakutane na Mungu
Lakini kumbuka wale ni binaadamu kama wewe na fahamu hii dunia ni njia hakika M'mungu ndie hakimu muadilifu sisi sote mwisho wetu kaburini na ndio mwisho wa maringo yetu
 
!
!
Adui Wa Mwislam Ni Mwislam Mwenzake. Walikamatwa Enzi Za Kikwete Hawa Wana Kama Mwaka Wa Kumi Na Nasikia Wameteswa Haswa Hawa Jamaa.
hawakukamatwa kwa sababu ya uislam wao na hawakuwa wakitetea uislam wao bali UZANZIBAR wao na MUUNGANO
 
acha ujinga wewe.... sasa kama wana makosa mbona hamuwapeleki mahakamani? Hata mimi nikiwa raisi suala la muungano nitaliacha mikononi mwa wazanzibar... Huwezi kuita muungano ambao mshirika mmoja anakiwa kama mkoloni wa mwenzie... Kwani Tanzania na Zanzibar ndio nchi za kwanza kuungana duniani?
Mkuu mgekuwa na chembe ya kufikiri hii leo tusingekuwa tunajadili hili.Kinachowagharimu Mashekhe we ukijui?Taifa linataka kuwa moja wewe unahubiri utengano,Wao ni watu wa Mungu basi wahubiri neno la Mungu.Wao sio wasemaji wawazanzibar,siku nyingine viongozi wa dini waweze kutenganisha Siasa na Dini.Gwajima yalitaka kukumkuta ya hao Mashekhe akarudi kwenye mstari mapema.Siku nikiingia Mimi madarakani mtakufa wengi kwa hii michezo yenu.Lazima tuwe na mipaka na Uzalendo.
 
Lakini kumbuka wale ni binaadamu kama wewe na fahamu hii dunia ni njia hakika M'mungu ndie hakimu muadilifu sisi sote mwisho wetu kaburini na ndio mwisho wa maringo yetu
Kama unajua kuwa mwisho wetu kaburini yanini ulielie
 
Nimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
Hopeless kabisa wewe, hujui tofauti ya mfungwa na mahabusu.

Punguza mihemko ya udini.
 
KWANI MAREKANI NA NCHI NYINGINE ZIMEWAWEKA GEREZANI WATU WA AINA HII KWA MIAKA MINGAPI? SI NI BADO WAPO KWA AJILI YA USALAMA WA NCHI? FIKIRIA ZAIDI. WEWE UNAWATAKA WA NINI HAUSWALI MPAKA WAWEPO? ENDELEA KUMWOMBA MUNGU WENU ILI AFUNGULIWE NA WENGINE WAOMBE WASIFUNGULIWE TUTAJUA UKWELI NI NANI.
Sasa Marekani inahusikaje hapa. Hii ina'water down' hoja yako.Unataka Tanzania nchi huru yenye utawala wake ikopi kila kitu kutoka marekani?
 
Nadhani kesi waliyonayo ni miongoni mwa kesi ngumu mno,kuanzia kuzitafiti kwa kina hasa katika kujua (targets) za wahusika,kuupata mzizi mkuu,hadi kufikia katika shina lake posibly huenda hata nyakati hizi za magufuli zisikamilishe udadisi wake,msingi wake mkuu ni kwamba kesi hizi hiwa na mitandao ya siri iliyokubuhu au migumu pamoja na misimamo thabiti.
 
Mahabusu wa uhujumu uchumi walisamehewa baada ya kukiri makosa, nao wakiri wasamehewe.
Wakiri nini?
Kuwa Tanganyika haiionei Zanzibar ndani ya muungano?
Kuwa Tusiachiwe tupumue ,tuendelee kubanwa?
Au wakiri nini walichosema ambacho si halisi?
HATA YESU WALIMTAKA AKIRI KUWA YEYE SIYE, NA TAZAMA ALIVYOWAJIBU;
''wewe wasema"
jE ILIMSAIDIA KITU? MBELE YA WAUWAJI WA KIYAHUDI NA KIRUMI?
wauwaji ni wale wale Romans bali wamebadilika rangi tuu.Siku hizi waafrika wamo.
Na ajenda ni ile ile.
 
Nimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
Wakati masheikh wa UAMSHO wakilalamikia mateso ya magerezani wanafanyiwa vitendo vya kishinzi na askari jela, watu walikua wanawakejeli kisa dini yao. Leo viongozi wetu wa Chadema nao wameingia kwa masaa 48 tu wametendewa uhuni wa hali ya juu kama wanavyoeleza wenyewe.

pmsigwa__20200315_075121_0.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati masheikh wa UAMSHO wakilalamikia mateso ya magerezani wanafanyiwa vitendo vya kishinzi na askari jela, watu walikua wanawakejeli kisa dini yao. Leo viongozi wetu wa Chadema nao wameingia kwa masaa 48 tu wametendewa uhuni wa hali ya juu kama wanavyoeleza wenyewe.

View attachment 1388771

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunguni hebu nikumbushe. Hawa masheikh tuhuma zao ni nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom