shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,191
- 2,119
Tatizo hao mashekhe wetu ni mapandikizi wa siasa ndani ya dini, amani ni muhimu zaidi kuliko ajenda za kidini-siasa za watu wasiozidi kumi.Nimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
huwezi kumtetea gaidi wa dini yoyote ile anaetaka kuvuruga amani ya nchi yetu.