Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Jamani hivi Serikali imetoa tamko kulazimisha lodge zote mjini na mikoani kukataza watu wa jinsia moja kushare chumba? Hata kama sawa mnataka kuzuia mapenzi ya jinsia moja; hamuoni mnatutesa na wengine bila sababu?
Imagine unasafiri na rafiki yako na mpo kwa budget mnataka kushare chumba halafu mnazuiliwa au pia mna kazi ya kufanya mnahitaji kuwa pamoja muda wote.
Pia hata kwa mwanaume na mwanamke mkitaka vyeti vya ndoa; jamani kuna mambo mengi oia yamekatazwa kati ya mume na mke pia mf anal sex, oral sex, mwanamke kuvaa strap on dildo na kumfanya mwanaume etc yote hayo mtajuaje?
Mtu na kaka yake, mtu na dada yake wote wanaathiriwa coz ya hofu yenu ya ushoga which by the way haihitaji masaa 8 kufanya ngono bali dakika chache tu.
Nyie sisitizeni na public morality au mashauzi yasiwe mengi na hadharani pia muwe wakali mkiona mtu mzima sana sana mwanaume anaingia na mtoto au kijana mdogo anayeonekana below 18 years kuzuia pedophilia au pederasty.
Imagine unasafiri na rafiki yako na mpo kwa budget mnataka kushare chumba halafu mnazuiliwa au pia mna kazi ya kufanya mnahitaji kuwa pamoja muda wote.
Pia hata kwa mwanaume na mwanamke mkitaka vyeti vya ndoa; jamani kuna mambo mengi oia yamekatazwa kati ya mume na mke pia mf anal sex, oral sex, mwanamke kuvaa strap on dildo na kumfanya mwanaume etc yote hayo mtajuaje?
Mtu na kaka yake, mtu na dada yake wote wanaathiriwa coz ya hofu yenu ya ushoga which by the way haihitaji masaa 8 kufanya ngono bali dakika chache tu.
Nyie sisitizeni na public morality au mashauzi yasiwe mengi na hadharani pia muwe wakali mkiona mtu mzima sana sana mwanaume anaingia na mtoto au kijana mdogo anayeonekana below 18 years kuzuia pedophilia au pederasty.