jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
asante mkuuNenda ofisi yoyote ya ccm iliyo karibu na wewe
ada ni sh 1200 kwa mwaka, kadi inauzwa sh 300/=
asante mkuuNenda ofisi yoyote ya ccm iliyo karibu na wewe
ada ni sh 1200 kwa mwaka, kadi inauzwa sh 300/=
Wewe kama hausiki, muwasho wa nini?Unapotea zaidi kwenye dimbwi la kinyesi! Pole ndugu
1;uwe muongo
2;mkatili usiwe na huruma hata kama ndugu yako anateseka
3;uwe tahira/huna akili timamu..
4:..................
5....,.......,.
1;uwe muongo
2;mkatili usiwe na huruma hata kama ndugu yako anateseka
3;uwe tahira/huna akili timamu..
4:..................
5....,.......,.
Karibu sana CCM mkuu jembe afrika.
maskini kamvaaa kikwete
Muulize Supreme Leader, -------- kama unataka kujiunga kisirisiriHusikeni na kichwa cha habari hapo juu,,mie ni shabiki sanaa wa chama cha mapinduzi CCM nilikuwa naomba mnisaidie taratibu za kujiunga na chama na kuwa mwanachama halali na wa kidumu wa CCM....Naombeni mnisaidie jamani
Kwanza uwe mwinzi.
Lazima uwe mwizi na uwe na uwezo wa kufuga fisi wasiopungua 50 nyumbani kwakokwa ajili ya hamasa , wengine watakupa vigezo vya ziada .
Kwanza uwe mwinzi.
Mwinzi ndio nini? ulikimbia shule nini?
Sasa huo si utakuwa uchawi sasa,,
Mmmmh sijakuelewa mkuu