Kama nilivyosema,nataka kujiunga na CCM, mimi nina elimu ya shahada na cheti cha taaluma. Sasa kabla sijajiunga naomba wana CCM mniambie
1. Je kuna faida gani ya kua mwanachama wa CCM.
2. Kadi naipata wapi ya uanachama.
Naomba mtu asijaribu kuhoji uamuzi wangu, Tuheshimiane.
Kama nilivyosema,nataka kujiunga na CCM, mimi nina elimu ya shahada na cheti cha taaluma. Sasa kabla sijajiunga naomba wana CCM mniambie
1. Je kuna faida gani ya kua mwanachama wa CCM.
2. Kadi naipata wapi ya uanachama.
Naomba mtu asijaribu kuhoji uamuzi wangu, Tuheshimiane.
Kama nilivyosema,nataka kujiunga na CCM, mimi nina elimu ya shahada na cheti cha taaluma. Sasa kabla sijajiunga naomba wana CCM mniambie
1. Je kuna faida gani ya kua mwanachama wa CCM.
2. Kadi naipata wapi ya uanachama.
Naomba mtu asijaribu kuhoji uamuzi wangu, Tuheshimiane.
Kama nilivyosema,nataka kujiunga na CCM, mimi nina elimu ya shahada na cheti cha taaluma. Sasa kabla sijajiunga naomba wana CCM mniambie
1. Je kuna faida gani ya kua mwanachama wa CCM.
2. Kadi naipata wapi ya uanachama.
Naomba mtu asijaribu kuhoji uamuzi wangu, Tuheshimiane.
Kama nilivyosema,nataka kujiunga na CCM, mimi nina elimu ya shahada na cheti cha taaluma. Sasa kabla sijajiunga naomba wana CCM mniambie
1. Je kuna faida gani ya kua mwanachama wa CCM.
2. Kadi naipata wapi ya uanachama.
Naomba mtu asijaribu kuhoji uamuzi wangu, Tuheshimiane.
Karibu sana.
Raha ya ngoma ingia ucheze. Ndo utajua faida zake.
Nenda kwa mjumbe wako ukiwa na picha yako psize atakupa kadi.
Karibu nyumbani.
karibu sana nenda kwenye ofisi ndogo za tawi pale unapo ishi au ulizia shina la chama, baada ya hapo utapewa utaratibu wa kupewa kadi iliyo halali ya uanachama pia kama umri wako haujasogea utapewa kadi ya umoja wa vijana, faida kubwa ni kua mwanachama halali wa ccm pia fursa utazipata kulingana na eneo husikaKama nilivyosema,nataka kujiunga na CCM, mimi nina elimu ya shahada na cheti cha taaluma. Sasa kabla sijajiunga naomba wana CCM mniambie
1. Je kuna faida gani ya kua mwanachama wa CCM.
2. Kadi naipata wapi ya uanachama.
Naomba mtu asijaribu kuhoji uamuzi wangu, Tuheshimiane.
Karibu sana.
Raha ya ngoma ingia ucheze. Ndo utajua faida zake.
Nenda kwa mjumbe wako ukiwa na picha yako psize atakupa kadi.
Karibu nyumbani.
duh. vp we kweli ni mzima?
"MSOMI KAMA WEWE UNAENDA KWENYE TAWI??? kwa elimu yako unatakiwa ukabidhiwe "kadi" na Kikwete hivyo subiri mbio za Mwenge ukipita ulipo hakikisha unazimwa wapi funga safari huko!