Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,635
Umekula maharage ya wapi wewe?
Uhuru wa mawazoUmekula maharage ya wapi wewe?
Avatar yako inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani!!!Huwezi kujiunga na chama makini kama CCM mpaka kwanza uache tabia za kinyumbu.
Pia akikisha umeacha ulofa
Kingekuwa makini si ndo ningevutika?Huwezi kujiunga na chama makini kama CCM mpaka kwanza uache tabia za kinyumbu.
Pia akikisha umeacha ulofa
Kama una malengo karibu ssm, ila kama hauna malengo kaa huko hadi mjukuu wa mbowe atakuwa mwenyekiti wa chama wewe ata ujafahamika kwenye kata...! Upinzani menu umenishinda kitambo niko ccm kivulini mie..! Namba ya kadi tangu hiyo hapo chini.
![]()
Ccm kivulini huu mchezo wa siasa hautaki hasira mjomba, ukijamba kwa hasira utajinyea mkuu...! Taaaratibu ushuzi unatoka na bado ni mtafutano nani kautoa..Acha kumtia mwenzako Ujinga,tuambie ni malengo gani anayoweza kuyafikia mtu kwa kuwa mwanaccm,fikra za aina yako ndizo zinazowafanya vijana wengi waishie kushangilia push-ups na ahadi za Kilimo cha umwagiliaji wa ubuyu.Unashindwa kujibidisha kwenye kazi unaishia kuzurura kwenye korido za Lumumba kupigia watu makofi,huo ni ulofa usiyoweza kuelezeka na mtu akakuelewa.

Ccm kivulini huu mchezo wa siasa hautaki hasira mjomba, ukijamba kwa hasira utajinyea mkuu...! Taaaratibu ushuzi unatoka na bado ni mtafutano nani kautoa..![]()
![]()
A
Avatar yako inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani!!!