Mkuu mleta mada,
Karibu sana kwenye chama imara, chama cha kudumu Tanzania, chama chenye taswira ya utaifa, chama cha kutoa nafasi na fursa kwa yeyote mwenye uwezo kuwa kiongozi wa chama na serikali.
Chama chenye uadui mkubwa na ufisadi, wizi, ubaguzi na unyanyapaa wa namna yoyote ile. Chama chenye uwazi! Chama chenye kuhubiri kwa vitendo sera ya kujitegemea kwa kuwa na raslimali zake na kuzitumia kwa maendeleo ya chama na kwa Watanzania kwa ujumla.
Karibu CCM
Note: Taratibu za kuingia CCM kwa maana ya uanachama tembelea ofisi za tawi la CCM katika mtaa wako.
Achana na wanywa viroba nenda ofisi yeyote ya ccm watakupa utaratibu
hawa ndo magreat thinkers wanajibu hoja sio kuropoka!!!
Mmmmh sijakuelewa mkuu
Sasa huo si utakuwa uchawi sasa,,
kwan unadhan albino wanamalizwa na watu wa chama gan
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu,,mie ni shabiki sanaa wa chama cha mapinduzi CCM nilikuwa naomba mnisaidie taratibu za kujiunga na chama na kuwa mwanachama halali na wa kudumu wa CCM....Naombeni mnisaidie jamani
Mimi nakushauri kabla ya kujiunga na CCM ni bora ungelikwenda kwa daktari wa akili kwasababu huenda ukawa unaugua maradhi ya uendawazimu.Husikeni na kichwa cha habari hapo juu,,mie ni shabiki sanaa wa chama cha mapinduzi CCM nilikuwa naomba mnisaidie taratibu za kujiunga na chama na kuwa mwanachama halali na wa kudumu wa CCM....Naombeni mnisaidie jamani
Kwanza kamwone dakitari wa upasuaji wa vichwa aondoe ubongo kwani ukienda kujiunga huko na akili zako hutapokelewa na kama una bahati ukipokelewa utafukuzwa kama utaonyesha unazo :becky:Husikeni na kichwa cha habari hapo juu,,mie ni shabiki sanaa wa chama cha mapinduzi CCM nilikuwa naomba mnisaidie taratibu za kujiunga na chama na kuwa mwanachama halali na wa kudumu wa CCM....Naombeni mnisaidie jamani