Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Hahahahahahaha naona itakuwa ameshapata somo hapo mkuu
Ujinga nao ni kipaji hongera
Hahahahahahaha naona itakuwa ameshapata somo hapo mkuu
Uwe na akiri ya kujitoa ufahamu...
Hujaelewa nini basi uwe mchawiMmmmh sijakuelewa mkuu
Mwinzi ndio nini? ulikimbia shule nini?
akiri=akili. nakurekebisha tu mkuu mana unatia aibu.
Mkuu mleta mada,
Karibu sana kwenye chama imara, chama cha kudumu Tanzania, chama chenye taswira ya utaifa, chama cha kutoa nafasi na fursa kwa yeyote mwenye uwezo kuwa kiongozi wa chama na serikali.
Chama chenye uadui mkubwa na ufisadi, wizi, ubaguzi na unyanyapaa wa namna yoyote ile. Chama chenye uwazi! Chama chenye kuhubiri kwa vitendo sera ya kujitegemea kwa kuwa na raslimali zake na kuzitumia kwa maendeleo ya chama na kwa Watanzania kwa ujumla.
Karibu CCM
Note: Taratibu za kuingia CCM kwa maana ya uanachama tembelea ofisi za tawi la CCM katika mtaa wako.
akiri=akili. nakurekebisha tu mkuu mana unatia aibu.
Endelea kujitoa ufahamu huko shule mnaendaga kusomea ujinga?
Mkuu mleta mada,
Karibu sana kwenye chama imara, chama cha kudumu Tanzania, chama chenye taswira ya utaifa, chama cha kutoa nafasi na fursa kwa yeyote mwenye uwezo kuwa kiongozi wa chama na serikali.
Chama chenye uadui mkubwa na ufisadi, wizi, ubaguzi na unyanyapaa wa namna yoyote ile. Chama chenye uwazi! Chama chenye kuhubiri kwa vitendo sera ya kujitegemea kwa kuwa na raslimali zake na kuzitumia kwa maendeleo ya chama na kwa Watanzania kwa ujumla.
Karibu CCM
Note: Taratibu za kuingia CCM kwa maana ya uanachama tembelea ofisi za tawi la CCM katika mtaa wako.
Sio mana ni maana; nakurekebisha tu Bosi wangu
Una qualifications zote au unajiingiza kichwa kichwa tu!!? Ok labada nikusaidie, hakikisha haya yafuatayo unauzoefu nao na sio chini ya miaka mitano. UWE NA TABIA YA KUSEMA UONGO,UWE NATABIA YA KUMDHARAU MTANZANIA MWENZAKO,HAKIKISHA UNAUZOEFU WA KUDOKOA AMA KUIBA LIVE MCHANA,USIWE NA UPENDO NA HURUMA NA TAIFA LAKO YAANI TZ,na mwisho UWE MPENDA NGUVU ZA GIZA.Husikeni na kichwa cha habari hapo juu,,mie ni shabiki sanaa wa chama cha mapinduzi CCM nilikuwa naomba mnisaidie taratibu za kujiunga na chama na kuwa mwanachama halali na wa kudumu wa CCM....Naombeni mnisaidie jamani
Sio mana ni maana; nakurekebisha tu Bosi wangu
Mbona yuko sawa? Mana=maana,hii inatokea bada ya uyeyushaji\udondoshaji wa irabu 'a'
Sasa huo si utakuwa uchawi sasa,,