Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,976
- 55,082
Hatari sana tutaona mengi sanaWashaingia mapema tu wale hawaachani, kumbuka Uingeleza ndo kasababisha Ukraine isitekwe
Hatari sana tutaona mengi sanaWashaingia mapema tu wale hawaachani, kumbuka Uingeleza ndo kasababisha Ukraine isitekwe
Ina maana hata msemaji wa idf hujamsikia au umeamua kufumba macho. kinchi kimezungukwa na majeshi ya us n uk then kinajigamba kina mifumo ya ulinzi ambayo hata hamas waliingia kwa parachutes😁😁.Kaomba wapi?! Unadhani hata bila US Israel haina mifumo ya ulinzi wa anga?
Jordan anaishambulia Iran kwasababu za kidini sio kiarabu.Kinachonihuzunisha ni nchi za kinafiki kama Jordan kuishambulia Iran badala ya kushirikiana ili kuikomesha israel
wale bila us na uk ni kama mgambo yu wa jijiDah kweli nimeamini Israeli ni military base ya USA na UK, cheki wanavohangaika na ujinga uliofanywa na Netanyahu
Kikinuka msije kulialia nakumbuka mlivyokuwa mnasema Scud za Saddam ni kiboko baadae akaja kubambwa kwenye Shimo na kunyongwa siku ya Iddi.Unafikiri Iran ni gaza, Iran anazo long range warning radar na anga lake Lina ulinzi mkubwa sana, anazo mifumo ya makombora ya ulinzi wa anga ambapo ukitoka s 300 ya mrusi zilizobakia katengeneza mwenyewe ndio maana mwaka 2019.
Hadi kesho tutakuwa tushajua mengi sana, ila kuna vifo vitatokea sana leo. Kuna ndege zitatunguana tuBREAKING: US officials have 'no doubt Israel will respond whether lives are lost or not' and that 'Iran itself will be targeted', according to ABC News.
Waarabu hawawezi kuwa wamoja hata siku moja kwasababu wanachanganya DINI na mambo mengine,utakuta huyu hataki kumsaidia huyu kwasababu ni Shia au SunniWaarabu wangekuwa wamoja huu ujinga wa Israel usingefanyika kamwe