Mashamba ya kukodi Ruvu

Mashamba ya kukodi Ruvu

Mkuu wengi tunataka kilimo. Tunaomba mtuwekee kabisa bei ya kukodi shamba kwa kila eka hapa hapa jamvini ili tuwasiliane na mhusika tukiwa tumepata taarifa ya kutosha na kujiandaa.
kweli hapa kazi tu imebananisha wengi hadi wanaulizia mashamba!!!!
 
Mashamba ya kukodi yapo huko Ruvu.
Nitakutumia PM ya contacts za mwanakijiji mwenye mashamba hayo.
Aisee nayatafuta haya,hebu na mimi nitumie contact za huyu mtu au nicheck kwa kutumia namba 0654 82 64 67
 
Magufuli huyu alivyobana kila mmoja atawaza kurudi kijijini kulima,mimi mwenyewe nimetoka kjijini kwetu juzi tu hapa kuangalia mazingira ya kulima ufuta kwetu na dengu
 
Hahahahahhhha Magufuli akiongeza kidogo hatutasikia habari za UKAWA KWENDA kuandamana, wengi watataka kuokoa familia zao na uzinzi mtaani utaisha tu.BIG UP ,ZEE MAGU
 
Hahaaa naona kila mtu anaomba contact.Hivi wote kweli mna nia ya kulima au kuuliza tu kama mashamba yapo.
kama wote mkilima kweli mtabadilisha uchumi wenu na wa wengine kwa kiwango kikubwa.
Kilimo kinalipa sana ukiamua kujitoa,mwenyewe ni mkulima hivyo nawatia moyo kuwa msonge mbele na kilimo hasa cha matunda na mboga kinalipa sana kwa muda mfupi
Naomba kupata mawasiliano yako, nahitaji kufahamu baadhi ya vitu kuhusu kilimo,
 
Back
Top Bottom