Mashamba ya kukodi Ruvu

Mashamba ya kukodi Ruvu

Huko Ruvu wanalima mpunga (wakati wa masika), na baada ya kuvuna mpunga, wanalima nyanya, bamia, tikiti na mazao mengine ya muda mfupi.

Kaka ni pm na mimi ila mi nahitaji la kununua hata ekari mbili
 
Tafadhali nami ningependa kupata contact za huyo anayekodisha hayo mashamba, nitashukuru ukini PM no. yake
 
Hahaaa naona kila mtu anaomba contact.Hivi wote kweli mna nia ya kulima au kuuliza tu kama mashamba yapo.
kama wote mkilima kweli mtabadilisha uchumi wenu na wa wengine kwa kiwango kikubwa.
Kilimo kinalipa sana ukiamua kujitoa,mwenyewe ni mkulima hivyo nawatia moyo kuwa msonge mbele na kilimo hasa cha matunda na mboga kinalipa sana kwa muda mfupi
 
Hahaaa naona kila mtu anaomba contact.Hivi wote kweli mna nia ya kulima au kuuliza tu kama mashamba yapo.
kama wote mkilima kweli mtabadilisha uchumi wenu na wa wengine kwa kiwango kikubwa.
Kilimo kinalipa sana ukiamua kujitoa,mwenyewe ni mkulima hivyo nawatia moyo kuwa msonge mbele na kilimo hasa cha matunda na mboga kinalipa sana kwa muda mfupi

Mkuu wengi tunataka kilimo. Tunaomba mtuwekee kabisa bei ya kukodi shamba kwa kila eka hapa hapa jamvini ili tuwasiliane na mhusika tukiwa tumepata taarifa ya kutosha na kujiandaa.
 
Hahaaa naona kila mtu anaomba contact.Hivi wote kweli mna nia ya kulima au kuuliza tu kama mashamba yapo.
kama wote mkilima kweli mtabadilisha uchumi wenu na wa wengine kwa kiwango kikubwa.
Kilimo kinalipa sana ukiamua kujitoa,mwenyewe ni mkulima hivyo nawatia moyo kuwa msonge mbele na kilimo hasa cha matunda na mboga kinalipa sana kwa muda mfupi

Hakika.
Kule Ruvu kunatawi sana tikiti, nyanya na mboga-mboga.
 
Wakuu nami ni mdau wa kilimo naomba mnipm hizo contacts za wanaokodisha na kama kuna sehemu nyimgine tofauti na hapo ruvu pia nitashukuru kujulishwa..thx vijana tuamke na kilimo tuache kutembea na bahasha za kaki
 
Mkuu wengi tunataka kilimo. Tunaomba mtuwekee kabisa bei ya kukodi shamba kwa kila eka hapa hapa jamvini ili tuwasiliane na mhusika tukiwa tumepata taarifa ya kutosha na kujiandaa.

Mkuu nijuavyo mimi

Bei ya kukodi shamba ni kuanzia Tsh 50,000 hadi 60,000,kulima kwa trector 50,000,kufyeka kama halijawahi kulimwa ni 20,000 na kuendelea inategemea makubaliano yako na kibarua inaweza pungua pia,unatakiwa kuwa na pampu na mpira wake n.k

NB: Kuna majanga ya asili kama uvamizi wa wadudu pia,usiwaze mafanikio tu.Ila haya yasikutishe
 
Please ROKY naziomba na me hizo namba nijipange kutumbukia humo ruvu.
 
Last edited by a moderator:
please please nami pia ni mdau wa kilimo naombeni hizo namba tafazali nipm.
 
Samahani mkuu nami naomba contact hizo kwani nina uchu sana na kilimo ma cell no is 0762283253 nashukuru sana mkuu natumaini kupata majibu mema
 
samahani na mimi naomba no zake mkuu kwani nilikua natafuta sana mashamba ya kukodi ma cell phone no is 0762283253 nashukuru sana mkuu
 
mkuu roky na mimi naitaji hizo number..ila ningependa kujua wanakodisha kwa bei gani
 
Jamani nahitaji bonde la ruvu kwakilimo cha matikiti maji tafadhalini naomba la kukodi kwani la kwangu MKURANGA nimepanda mihogo lote halafu halifai kwa kilimo ninachotaka kwa sasa ,MWENYE KUKODISHA nipm ..
 
Vipi mlifanikiwa kulima. .. Tunaomba uzoefu wenu na bonde la ruvu na sisi twatamani kuingia si unajua kuona ni kusadiki. .
 
Mashamba ya kukodi yapo huko Ruvu.
Nitakutumia PM ya contacts za mwanakijiji mwenye mashamba hayo.
mkuu na mimi naomba contacts za mwenyeji wa apo ruvu anyekodisha mashamba. Shukrani
 
Hivi jamani mmeshindwa kumwambia huyo mwenye no, aiweke hapa kila mtu aweze kuipata kiurahisi?!
haya na mm naomba uni Pm naihitaji pia.
 
Back
Top Bottom