Mashahidi 24 wa Jamhuri dhidi ya Mbowe; hadi sasa wamefika 8, bado 16

Kuanza hapo 9 mpaka 24, ndiko kwenye upotolo zaidii

Ninaliona hilo zaidi pia kwa sababu huenda wamepangwa kutokana na umuhimu na kama ni polisi kwa vyeo. Sasa wameanza kuja ma PC na hawa ndio wale divisheni pendwa katika matumizi ya nguvu! Ubaya kabisa ni kuwa mashahidi wa mwanzo wameshaeleza hakukuwa na forensic tests (finger prints, lab tests) wala ushahidi wa voice au text messages.

Mashahidi wanaofuata wanafurahisha. Huenda wasiwe na maana kama Kaaya aka Power!
 
Ninaliona hilo zaidi pia kwa sababu huenda wamepangwa kutokana na umuhimu na kama ni polisi kwa vyeo. Sasa wameanza kuja ma PC na hawa ndio wale divisheni pendwa katika matumizi ya nguvu! Ubaya kabisa ni kuwa mashahidi wa mwanzo wameshaeleza hakukuwa na forensic tests (finger prints, lab tests) wala ushahidi wa voice au text messages.

Mashahidi wanaofuata wanafurahisha. Huenda wasiwe na maana kama Kaaya aka Power!
Hahaa eti divisheni pendwa, kama hakukuwa na forensic test before ambayo ni evidence muhimu sasa mashahidi wanaofuata wanakuja kuleta nini kama sio stories za wapi walikutana na Mbowe kwa mara ya kwanza.

Kuna wakati nilisema.....

 
1. ACP Kingai, Afisa wa polisi
2. Justine Kaaya, Afisa wa polisi??
3. H 4323 Constable Msemo, Afisa wa polisi
4. Anisha Valerian Mtalo, Mama muuza mbege
5. Fredy Kapara, Mwanasheria tiGo
6. SSP Sebastian Madenge, Afisa wa polisi
7. Inspector Omary Mahita, Afisa wa polisi.
8. Jumanne Malangahe SP, Afisa wa polisi.
9. Askari?
10. Askari? ........24?

Yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hadi sasa jumla ya Majaji Watatu wamesikiliza kesi hii; Jaji Elinaza Luvanda aliyejitoa baada ya upande wa utetezi kutokuwa na imani naye, Jaji Kiongozi Mustapha Siyani alijitoa kwa sababu ya majukumu yake na sasa ipo chini ya Jaji Joachim Tiganga.

View attachment 2008600
Kati ya mashahidi 24 , 21 ni Polisi , Hili tuliambiwa mapema tu
 
Siro na Mama Samia huenda huko waliko vichwa vinawauma mnoo, maana mpaka sasa mashahidi wao wamewaangusha mnoo na kuiabisha jamhuri.

Yaani kesi ya uongo, shahidi wa kuunga unga, jaji wa kutengeneza na wakili wa serikali ni kilaza fulani, kinachotokea ni aibu tupu mahakamani.
Upande wa Utetezi umemwandikisha Sirro kama mmoja wa Mashahidi wake wa kutegemewa
 
Kati ya mashahidi 24 , 21 ni Polisi , Hili tuliambiwa mapema tu
Nafikiri hawa mashahidi ni wengi mno kuna siku watakuja kujikana wao kwa wao. Sasa hao polisi wengine watakuja kusema nini kuwa walitumwa kupeleka barua kwa DCI au mahakamani.
 
Back
Top Bottom