Kuanza hapo 9 mpaka 24, ndiko kwenye upotolo zaidii
Ninaliona hilo zaidi pia kwa sababu huenda wamepangwa kutokana na umuhimu na kama ni polisi kwa vyeo. Sasa wameanza kuja ma PC na hawa ndio wale divisheni pendwa katika matumizi ya nguvu! Ubaya kabisa ni kuwa mashahidi wa mwanzo wameshaeleza hakukuwa na forensic tests (finger prints, lab tests) wala ushahidi wa voice au text messages.
Mashahidi wanaofuata wanafurahisha. Huenda wasiwe na maana kama Kaaya aka Power!