GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,725
- 109,157
"Alex Luambano kiukweli nchi ni nzuri na tumefika Salama hapa Kigali Rwanda, ila tatizo Kubwa tunalolipata ni wengi wetu kurokujua Lugha ya Kiingereza kiasi kwamba tunalanguliwa mno Bei ya Taxi" amesema Mtangazaji Mkazuzu wa Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM dakika chache tu zilizopita.
Kwahiyo mlidhani huko Rwanda wanaongea Kiswahili chenu cha Kariakoo na mkajazana kwa Uwingi kama Magunia ya Mahindi ya MUYAMA ONE katika Mabasi yenu 30 na kwenda wakati Wenzenu wanaongea Kifaransa msichokijua kabisa na Kiingereza ambacho Kinawatesa sasa huko Ugenini Israeli ya Afrika Rwanda?
Mashabiki wa Simba SC wanakubalika na wanaheshimika nchi zote wanazoenda kwakuwa kuanzia Wachezaji, Mashabiki na Viongozi wote wanaongea vyema kabisa Lugha ya Kiingereza tofauti na Wapuuzi Waliofurika Kigali Rwanda kumbe Kiingereza kinawapa shida na sasa Madereva wa Taxi wanawapiga tu kwa Kuwatoza Gharama ya Juu kwa safari fupi fupi tu za Viunga vya Jiji la Kigali.
Kudadadeki......!!
Kwahiyo mlidhani huko Rwanda wanaongea Kiswahili chenu cha Kariakoo na mkajazana kwa Uwingi kama Magunia ya Mahindi ya MUYAMA ONE katika Mabasi yenu 30 na kwenda wakati Wenzenu wanaongea Kifaransa msichokijua kabisa na Kiingereza ambacho Kinawatesa sasa huko Ugenini Israeli ya Afrika Rwanda?
Mashabiki wa Simba SC wanakubalika na wanaheshimika nchi zote wanazoenda kwakuwa kuanzia Wachezaji, Mashabiki na Viongozi wote wanaongea vyema kabisa Lugha ya Kiingereza tofauti na Wapuuzi Waliofurika Kigali Rwanda kumbe Kiingereza kinawapa shida na sasa Madereva wa Taxi wanawapiga tu kwa Kuwatoza Gharama ya Juu kwa safari fupi fupi tu za Viunga vya Jiji la Kigali.
Kudadadeki......!!