Yanga tayari mechi na El Merreck comfirmed itachezwa, Kigali Rwanda, uongozi utowe utaratibu wa safari sasa, Simba pia mnahusika

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,608
93,411
Ni aibu kwa Watanzania mechi kama Simba na Power Dyanamos na Yanga na El Merreck zote zinapigwa kwenye nchi Jirani border to border kama viongozi wanashindwa kuwaandaa mashabiki wa timu hizi kuhudhuria kwa wengi mechi hizo kwa kuwawekea utaratibu rafiki badala ya kuwageuza fursa ili kuwapiga mashabiki.

Kwa mfano upande wa Simba mtu kama Avoid ni mtu wa Simba hamasisha mashabiki wengi wa Mbeya na Tunduma wawekewe utaratibu rahisi na bei nafuu waende Zambia.

Upande wa Yanga INA base kubwa Mwanza, ongea na Zakaria watu wa Mwanza na Geita waende Kigali kwa wingi na makao makuu idili na watu wa labda ya Pwani Moro, Dar, Tanga na Mtwara.

Tu jifunze kuamini matawi ya mikoani yajisimamie yenyewe kama wanaweza kuja kwenye matamasha ya Simba day na Yanga day kwa kujiorganise wenyewe hata hili wanaliweza na uzuri hizo nchi unaingia kwa temporary passport za karatasi tu ambazo hazina shida kuzipata.

Ni wakati sasa wa viongozi wa klabu hizi wachangamshe akili tuwe wanyonge mechi za mbali lakini siyo Zambia au Rwanda, tuukatae unyonge huu.
 
Ni aibu kwa Watanzania mechi kama Simba na Power Dyanamos na Yanga na El Merreck zote zinapigwa kwenye nchi Jirani border to border kama viongozi wanashindwa kuwaandaa mashabiki wa timu hizi kuhudhuria kwa wengi mechi hizo kwa kuwawekea utaratibu rafiki badala ya kuwageuza fursa ili kuwapiga mashabiki.

Kwa mfano upande wa Simba mtu kama Avoid ni mtu wa Simba hamasisha mashabiki wengi wa Mbeya na Tunduma wawekewe utaratibu rahisi na bei nafuu waende Zambia.

Simba utaratibu upo kabla hata Power Dynamos hajatinga hatua hii

1693675395706.png
 
Ni aibu kwa Watanzania mechi kama Simba na Power Dyanamos na Yanga na El Merreck zote zinapigwa kwenye nchi Jirani border to border kama viongozi wanashindwa kuwaandaa mashabiki wa timu hizi kuhudhuria kwa wengi mechi hizo kwa kuwawekea utaratibu rafiki badala ya kuwageuza fursa ili kuwapiga mashabiki.

Kwa mfano upande wa Simba mtu kama Avoid ni mtu wa Simba hamasisha mashabiki wengi wa Mbeya na Tunduma wawekewe utaratibu rahisi na bei nafuu waende Zambia.

Upande wa Yanga INA base kubwa Mwanza, ongea na Zakaria watu wa Mwanza na Geita waende Kigali kwa wingi na makao makuu idili na watu wa labda ya Pwani Moro, Dar, Tanga na Mtwara.

Tu jifunze kuamini matawi ya mikoani yajisimamie yenyewe kama wanaweza kuja kwenye matamasha ya Simba day na Yanga day kwa kujiorganise wenyewe hata hili wanaliweza na uzuri hizo nchi unaingia kwa temporary passport za karatasi tu ambazo hazina shida kuzipata.

Ni wakati sasa wa viongozi wa klabu hizi wachangamshe akili tuwe wanyonge mechi za mbali lakini siyo Zambia au Rwanda, tuukatae unyonge huu.
ungewajua watanzania wenyewe usingeandika uliyoandika, hao mashabiki wa hizi timu unadhani hata pass wanazo?

waambie watafuye pass za kusafiria uone watakavyokujib

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
ungewajua watanzania wenyewe usingeandika uliyoandika, hao mashabiki wa hizi timu unadhani hata pass wanazo?

waambie watafuye pass za kusafiria uone watakavyokujib

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Kwa safari hizi za Zambia na Rwanda kukiwa na watu serious unawakatia group temporary passport za kusafiria wala hazina shida yoyote uhamiaji.
 
Ni aibu kwa Watanzania mechi kama Simba na Power Dyanamos na Yanga na El Merreck zote zinapigwa kwenye nchi Jirani border to border kama viongozi wanashindwa kuwaandaa mashabiki wa timu hizi kuhudhuria kwa wengi mechi hizo kwa kuwawekea utaratibu rafiki badala ya kuwageuza fursa ili kuwapiga mashabiki.

Kwa mfano upande wa Simba mtu kama Avoid ni mtu wa Simba hamasisha mashabiki wengi wa Mbeya na Tunduma wawekewe utaratibu rahisi na bei nafuu waende Zambia.

Upande wa Yanga INA base kubwa Mwanza, ongea na Zakaria watu wa Mwanza na Geita waende Kigali kwa wingi na makao makuu idili na watu wa labda ya Pwani Moro, Dar, Tanga na Mtwara.

Tu jifunze kuamini matawi ya mikoani yajisimamie yenyewe kama wanaweza kuja kwenye matamasha ya Simba day na Yanga day kwa kujiorganise wenyewe hata hili wanaliweza na uzuri hizo nchi unaingia kwa temporary passport za karatasi tu ambazo hazina shida kuzipata.

Ni wakati sasa wa viongozi wa klabu hizi wachangamshe akili tuwe wanyonge mechi za mbali lakini siyo Zambia au Rwanda, tuukatae unyonge huu.
Naunga mkono hoja
 
Kutoka Dar kwenda Ndola Zambia and return kwa laki mbili ni wizi, haya ndio nayapinga Mimi kuwageuza mashabiki fursa.

Dar to Johannesburg ni kilometres 5000 nauli ni laki tatu tena siyo basi la kukodi ni la abiria.
Labda hiyo laki mbili ni Kila kitu
 
Chonde chonde! Msije mkaenda huko Zambia na lile basi lenu kuu kuu! Haki ya nani mtaishia Mlima Kitonga!!

Kama vipi tafuteni usafiri wa uhakika, ili mfike salama na pia mrudi salama. Ni ushauri lakini.
Tatizo kuna watu kila jambo wanaona ni fursa ya kuwapiga pesa wenzao.

Kwa wale wa Mbeya na Tunduma wakijjorganise vizuri watakodi mabasi kwa bei ndogo tu tena affordable waachane na hawa matapeli wa kariakoo watapeliane wenyewe.
 
Ni aibu kwa Watanzania mechi kama Simba na Power Dyanamos na Yanga na El Merreck zote zinapigwa kwenye nchi Jirani border to border kama viongozi wanashindwa kuwaandaa mashabiki wa timu hizi kuhudhuria kwa wengi mechi hizo kwa kuwawekea utaratibu rafiki badala ya kuwageuza fursa ili kuwapiga mashabiki.

Kwa mfano upande wa Simba mtu kama Avoid ni mtu wa Simba hamasisha mashabiki wengi wa Mbeya na Tunduma wawekewe utaratibu rahisi na bei nafuu waende Zambia.

Upande wa Yanga INA base kubwa Mwanza, ongea na Zakaria watu wa Mwanza na Geita waende Kigali kwa wingi na makao makuu idili na watu wa labda ya Pwani Moro, Dar, Tanga na Mtwara.

Tu jifunze kuamini matawi ya mikoani yajisimamie yenyewe kama wanaweza kuja kwenye matamasha ya Simba day na Yanga day kwa kujiorganise wenyewe hata hili wanaliweza na uzuri hizo nchi unaingia kwa temporary passport za karatasi tu ambazo hazina shida kuzipata.

Ni wakati sasa wa viongozi wa klabu hizi wachangamshe akili tuwe wanyonge mechi za mbali lakini siyo Zambia au Rwanda, tuukatae unyonge huu.
kwa yanga usihofu kwani hukuina ile mechi tp mazembe na marumo tulivyofanya
 
Ndio nimeona kwa bei hiyo ni wizi mtupu.

Je mmewaandalia basi lao wapenzi wa Simba wa Tunduma? Kwa bei gani?
Na wewe mbona unapenda kulalamika kwa kila kitu? Kuna mabasi kibao yanakwenda Zambia kutokea nchini mtu akiona nauli hiyo ni kubwa ni vizuri akakata tiketi kawaida akaenda kuisapoti timu
 
Chonde chonde! Msije mkaenda huko Zambia na lile basi lenu kuu kuu! Haki ya nani mtaishia Mlima Kitonga!!

Kama vipi tafuteni usafiri wa uhakika, ili mfike salama na pia mrudi salama. Ni ushauri lakini.
Tunalo bus la maana tu mtani kwa safari kama hizo hata mwaka jana tulienda Malawi na kurudi bila shida yoyote ile
 
Tatizo kuna watu kila jambo wanaona ni fursa ya kuwapiga pesa wenzao.

Kwa wale wa Mbeya na Tunduma wakijjorganise vizuri watakodi mabasi kwa bei ndogo tu tena affordable waachane na hawa matapeli wa kariakoo watapeliane wenyewe.
Nadhani hili ndio ungesema maana uongozi haujakataza shabiki yoyote kufika zambia kuisapoti timu kwa njia yoyote anayoona ni nafuu kwake hata kama ataamua kupanda malori ya mafuta au IT ni yeye tu
 
Back
Top Bottom