Siyo lazima nimiliki kampuni ya wabeba mabox. Wazazi wangu unawajua wewe? Unajua shughuli zao?
Ha ha ha ha ha ha !!!!eti azazi wangu!nkt!
Mosha jambazi tu mke wake anaitwa Delina ulizia mitaa ya kbh sana utapata issue zake
Mmmmnh !!!???
Naona "mtu wetu" kama kawaida yake kajisogeza kupata snepu.......
![]()
Na akifa wamzikie humohumo asixhimbiwe kaburi my take.