Maserati Grand turismo ya Davis Mosha

Maserati Grand turismo ya Davis Mosha

Huyu jamaa pia aliwahi kuwa na Lamborghini! . . Na kuhusu utajiri wake ,ni jambazi!
 
Wabeba mabox mbona tunazisukuma kila siku ndinga kama hizo....acheni ushamba nyie.

Cheki kitu ya Quattroporte 2014 hiyo

657_p3_l.jpg


Bofya hapa kwa mapicha na info zaidi.

hata wewe ungeweka picha ya maserati yako tungekwambia...nice whip....sio ushamba ni kuappreciate kitu kizuri...
 
Huyu jamaa na mkewe ndio wenye Delina Group,

Ila jamaa kwa big boys Toys anatisha...
 
Hongera ka mafanikio ya kuweka tz katika nchi zenye wanachi wenye maisha magumu sana lakini watu wake wachache wananunua vitu vya bei mbaya ingawa hawan hata kituo kimoja cha kusaidia watoto yatima na wazee.
 
huyu jamaa yupo kwenye sekta ya usafirishaji wa oil product za kobil anasemi kama 80 ivi anasafirisha mafuta ya hao kobil east and southern afrika!!! ofisi zake ziko kibaha ndo izo mashine zake zinapaki.... pia kwa sasa anajihusisha na biashara za hotel nk labda question mark ni tu kwa jinsi alivyopanda gafla.... labda atujobu tu suala zima la uchakachuaji kwani kibaha ndio uchakachuaji unapofanyikia malori yote ya mafuta yakiwa yanaondoka yanapaki kibaha kwanza ndio yaanze safari kwenye mayard ya maeneo yale ndio uchakachuaji unaendelea sasa sijui kama na yeye yard zake zinahusika au la hadi akawa anapata super profit hadi kuinuka haraka ivyo!!! good car though nadhan hata balloteli ndio alikua anatumia hii maserati!!!
 
jamaa anapenda vitu vizuri,safi sana,acheni majungu.
 
what does he do for a living...just asking

Ni owner wa Delina Group, unaweza ukai google for more details, anamiliki malori kama 80 hivi yanayosafirisha oil products za KobiL,,,

Yeye ana deal na oil, lubricants, energy and fuel Distributions on behalf of Kobil
 
kwa sisi wapenda kinamama na vibinti vizuri huu tunauita uchawi wa kizungu.....
 
Na akifa wamzikie humohumo asixhimbiwe kaburi my take.

Aaah watu mna vituko,mnatuchekesha tulionuna hapa..Mi namshauri ingekuwa vizur badala ya kujitangaza kwa kununua xpensive cars,basi angekuwa anatoa sadaka kwa vituo vya watoto yatima ili Mungu amkumbuke katka ufalme wake..dini iliyo safi ni kusaidia wajane na yatima; na pia amkumbukae masikini...wasomaji wa Zaburi mtanisaidia kumalizia
 
hahahaha hata mimi huku mtaani wananiita drug dealer kwasababu naendesha gari kali na wao hawajui nafanya nini.
Mkuu tatizo wabongo wanapenda sana kuwa managers, administrators, na ceo's wa maisha ya watu, wanapenda wajue unafanya nini na utafanya nini kesho, usipowapa nafasi ya kuwa ndani ya maisha yako, tegemea kupata majina kama haya..
 
Back
Top Bottom