masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
I've always suspected uli Kyusa feki!!Umeolewa na CHADEMA siku hizi dogo?
Hakuna Kyusa mliberali!!
I've always suspected uli Kyusa feki!!Umeolewa na CHADEMA siku hizi dogo?
Mimi nijianike humu na mipicha yangu? I'll do that when hell freezes over.
Hahahah kwani unadhani unajianika? Watu wanakutupia tu mzee, hela hazijifichi. We sema ni kama mimi tu sio suala la hutaki 'kujianika'
Kama picha ndiyo uthibitisho, kweli unadhani siwezi kupiga picha na Maserati? Unaishi wapi wewe - bongo?
Basi kwa taarifa yako kupiga picha na Maserati wala siyo ishu. Ni kiasi cha kwenda kwa dealer na kusimama mbele ya Maserati na kufotolewa.
Na kama hiyo haitoshi, mtu unaweza kabisa kwenda kwa dealer na kuomba ku-test drive ndinga yoyote ile na unaweza ukapozi na funguo kabisa.
Kwa hiyo picha wala siyo ithibati hata kidogo. Licha ya hivyo, sisi wengine hatuna picha zetu kwenye hii mitandao ya kijamii. Huwezi kunikuta kokote kule kuanzia fesbuk hadi tumblr au sijui ushuzi gani instagram.
Hivi unadhani huu mjadala hapa ni kwasababu ya hizo picha? Sio hivyo mkuu, hii mada hata ingekuja bila picha bado ingekuwa kubwa na ingejadiliwa tu. Jamaa ana hela hilo halina ubishi sasa anapataje hilo ni suala jingine.
Na wewe kuhusu kutokuwa kwenye mitandao ya kijamii sasa ndio unajisifu? Mimi nipo kote huko na nikinunua hata ka'balloon ka mil 5 nakatupia huko ili wachawi muone wivu.
Kwani nani hana hela?
mkuu una maanisha na wewe huko level ya Davis Mosha, maana tukiachana na hizo maserati sijui lamborgin kampuni ya Davis Delina Group ina own scania almost 80 na kila mtu bongo anamjua toka enzi yupo Yanga makamu mwenyekiti,
Na source ya income yake inaeleweka ni Contract yake na Kobil Africa kwenye Fuel, Energy and lubricants distribution..
sasa nyani ngabu raisi wa wabeba ma box, unamiliki kampuni ya mabox au?
Siyo lazima nimiliki kampuni ya wabeba mabox. Wazazi wangu unawajua wewe? Unajua shughuli zao?
So hapa tunamuongelea Nyani ngabu au Wazazi wa nyani ngabu?
Unajua tofauti kati ya kuwa 'rich' na kuwa 'wealthy'? Kama unajua basi basi utakuwa umeelewa ninachosema.
Congrats kwa hilo, but sisi tulijua Davis Mosha ndio anakimbiza bongo kwa Big Boy Toys" kumbe mpo wengi..
Huyu hauzi unga kweli?? Kila siku anazidi kununua magari ya kifahari, je hela anapata wapi?Bei yake sio chini ya Dola 126000 za marekani na hapo kabla exportation costs,import na kodi nyingine kibao.
Tatizo mmeshakariri kuwa kila anayekimbiza basi lazima awe flamboyant na amiliki big ticket items.
Ushawahi kumwona David Koch kapozi mbele ya Maserati? Au Sheldon Adelson kapozi mbele ya Lambo?
Hawa sasa ndio drugs dealers,sio idd azzan!Utajiri wake umeibuka ghafla baada ya kikwete kuwa rais
Wivu, wewe ukifa uzikwe na hicho kisimu chako, baiskeli na lile shati lako la kitengeNa akifa wamzikie humohumo asixhimbiwe kaburi my take.