Paka jimmy ulitaka asemeje? maana yeye amesema tu! hao EATV wametenda kabisa! nani unafikri wa kulaumiwa zaidi?
after all ni ze comedy
Masanja IQ yake ni ndogo hivyo ni kuachana nae tu!
Naona kinachofanyika hapa ni kujaribu kutorosha ukweli ulio dhahiri. Haya mtolee Masanja maneno mdomoni mwake basi !!!Hiyo kwenye mabano aliiweka Masanja au ya kwako?. Kama Masanja hakutaja jina la mtu basi sioni ubaya upo wapi. Maana Mtu si Mengi pekee, sisi sote ni watu.
Tusimuwekee masanja maneno mdomoni mwake. Cha kufanya mtafute umuulize alikuwa anamuongelea mtu yupi?. Then lete jibu tulijadili.
Usingoje utafuniwe na umezewe, weye Hof nini sijui(naogopa name-calling)!
Alianza kwa kusema...jirani kaamua kurudisha kipindi kama hiki katika muda sawasawa na wakipindi chetu hiki...Kashfa nyingi zikafuata.
Unadhani jirani yao huyo ni nani?
Samahani hii ni maisha binafsi, lakini mtu anapokera kiasi hiki inabidi kumkumbusha udhaifu wake- Huyu masanja ni kweli amesahau alikotoka, nadhani hii n i tabia yake maana angekuwa anakumbuka alikotoka asingeigiza kuwacheka watu kuishiwa wakati yeye na umaarufu wote huo nyumba yao pale ubaruku Rujewa ni ya Nyasi-choka mbaya kabisa. Angekuwa anakumbuka alikotoka angeenda kurekebisha kwao kabla ya kushambulia wenzie achalia mbali mtu kama RMAmesahau alikotoka.
Naona kinachofanyika hapa ni kujaribu kutorosha ukweli ulio dhahiri. Haya mtolee Masanja maneno mdomoni mwake basi !!!
Sio masanja tu, bali pamoja na washirika na washabiki wake wote IQ zao ni finyu sana.
Masanja and co.wamefulia,mimi sioni kama kuna komedi ila wachovu wanahangaika na kuchosha minds za watu.Ndiyo maana hata kutazama hicho kipindi nimeacha.Hakuna kinachochekesha!
1st Lady mdomo wa avatar yako..mmmh!!
basi iambie avatar!
Hiyo kwenye mabano aliiweka Masanja au ya kwako?. Kama Masanja hakutaja jina la mtu basi sioni ubaya upo wapi. Maana Mtu si Mengi pekee, sisi sote ni watu.
Tusimuwekee masanja maneno mdomoni mwake. Cha kufanya mtafute umuulize alikuwa anamuongelea mtu yupi?. Then lete jibu tulijadili.