sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
wale siku hizi wameishiwa , ubunifu kadhalika kwa sasa mhawana tena, siwatofautishi na baadhi ya kinamama(samahani) wakiwa ktk kusuka nywele ama vikao vinavyofanana na hivyo. ni kama kakikundi cha watu fulani wanasubiri matukio ya watu fulani kisha na wao wapate kusema. SIONI UMUHIMU WAO.