Masai wanne wanusurika kifo baada ya kushambuliwa na simba

Masai wanne wanusurika kifo baada ya kushambuliwa na simba

Nimeangalia taarifa ya habari ITV. Kuna vijana wa kimasai wapatao nane walikua machungani Mara wakavamiwa na Sumba .wakajeruhiwa sana.ajabu nikaona msemaji mmoja ambae ni mzungu akasema vijana hao wameshambuliwa kweli na simba .lakini wakachunguza hali ya simba wakakuta hakujeruhiwa kabisa.shameless hana aibu simba ana dhamani kuliko mwanadamu. Na akaongea pia mwafrika mwingine akasema vijana wafanye kazi waache mawindo nonsense speech.very shame.
 
Ni habari nimeiona hapo itv

Sijui walikua watafuta nini huko maporini kwenye simba wakali

Hivi ile sheria yao ili uoe lazima uue simba bado ipo??
kweli siku hizi wamasai wamekuwa mdebwedo, yaani simba mmoja anawajeruhi wamasai wanne.
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Hakuna sheria inasema hivyo na wala haijawahi kuwepo ilikuwa stori tuu za kijiweni
Ni habari nimeiona hapo itv

Sijui walikua watafuta nini huko maporini kwenye simba wakali

Hivi ile sheria yao ili uoe lazima uue simba bado ipo??
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Wamasai si huwa simba wanamuita nyau na hawamuogopi? Sasa wameona nyau alivyo, pumbav zao
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Enzi hizo wazee wetu waganga wangefanya kitu!
 
  • Thanks
Reactions: Paa
mimi nimecheza mechi ya kikapu na wenyeji wangu wa bagamoyo asee timu nzima ya wazaramo ilikuwa ina mabusha hayo nilikuwa nachanganya na mpira wa kikapu kila saa nayadundisha chini.
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
  • Thanks
Reactions: Paa
kweli siku hizi wamasai wamekuwa mdebwedo, yaani simba mmoja anawajeruhi wamasai wanne.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti mdebwedo hahaha. Umenikumbusha zekomedi miaka ya 2007 wakati huo ilikua fire,msamiati huu ulitumika sana kuwawakilisha wanaume wa dar, na wale wote wala chipsi wasioweza kuua hata mende
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti mdebwedo hahaha. Umenikumbusha zekomedi miaka ya 2007 wakati huo ilikua fire,msamiati huu ulitumika sana kuwawakilisha wanaume wa dar, na wale wote wala chipsi wasioweza kuua hata mende
wamasai wanawaiga wanaume wa dar kwa kushindia chipsi sasa huyo simba watamuweza kweli.
 
Back
Top Bottom