Masai wanne wanusurika kifo baada ya kushambuliwa na simba

Masai wanne wanusurika kifo baada ya kushambuliwa na simba

Hvi kwa nini muwaite wamasai?

Mbona hatari kama hzi zikiwapata watu wengne hamsemi wa-fulani mnasema watu kadhaa wanusurika?

Nakumbuka habari moja ya watoto wa ki-japan waliodai wanajua Tanzania kuna Wamasai na wanyama pekee

Kanakwamba wamasai siyo watu.
 
Hvi kwa nini muwaite wamasai?

Mbona hatari kama hzi zikiwapata watu wengne hamsemi wa-fulani mnasema watu kadhaa wanusurika?

Nakumbuka habari moja ya watoto wa ki-japan waliodai wanajua Tanzania kuna Wamasai na wanyama pekee

Kanakwamba wamasai siyo watu.
Nasikia wako kwenye tunu
 
Hvi kwa nini muwaite wamasai?

Mbona hatari kama hzi zikiwapata watu wengne hamsemi wa-fulani mnasema watu kadhaa wanusurika?

Nakumbuka habari moja ya watoto wa ki-japan waliodai wanajua Tanzania kuna Wamasai na wanyama pekee

Kanakwamba wamasai siyo watu.

Ngoja tuwaite-MA NJEREE
 
Hahaa mchoyo au mbahili ni wewe, nahisi ulikua na mkono wa birika, ilikuaje ukanyimwa papuchi? hata hivyo mpare heri ampe mpare mwenzake kuliko wewe wa kuja
 
...MUKEEEEE Mutamuuuu.....kwa wamaasaiii ili uheshimiwe na upewe PAPUCHI vizuriii lazima uwe jasiri na uwe umeuaaa SIMBA sio yangaaaa 😡😡
 
Ha ha ha jiwe nae mmasai
Hvi kwa nini muwaite wamasai?

Mbona hatari kama hzi zikiwapata watu wengne hamsemi wa-fulani mnasema watu kadhaa wanusurika?

Nakumbuka habari moja ya watoto wa ki-japan waliodai wanajua Tanzania kuna Wamasai na wanyama pekee

Kanakwamba wamasai siyo watu.
 
Back
Top Bottom