Masaa 3 Kumsubiri bwana mkubwa apite

Masaa 3 Kumsubiri bwana mkubwa apite

hayo mambo wanayafanyaga huko mikoani maporini. mjini dar hawafanyi
 
Hahahaaaa! Jamaa kama anasahihisha kumbe anatafuta kusahihishwa..


Endelea kupotoka tu....

20170306_224308.png
 
Hizo picha alizoziweka ni Morogoro road labda kama una makengeza.
Hilo neno ulilomaliza nalo sio zuri kulitumia katika nchi ya wastaarabu na jamii iliyoleleka kwenye mstari wa maadili kama Tanzania.
 
Hiv gharama za kurusha helcopter zikoje kutoka dar mpaka ngerengere ukilinganisha na magari zaidi ya 10. Mwenye uzoef tafadhal ndio anijib.
 
Dodoma hawana nyumba za kuishi wamevamia tu instution za watu, kama hostel za vyuo kugeuzwa ofisi, makazi ya lectures kuchukuliwa, maskini waliokuwa wanakaa quoter za maghorofani kutimuliwa kama mbwa, watu kunyanganywa viwanja kisa kupisha makazi mapya..... etc
Awamu hii ni uhuni tu kwenda mbele
 
Rais ni taasisi Kama hamjui. Rais sio mtu wa kawaida Kama wewe ni lazima alindwe kwa kila namna. Kwanza ni amirijeshi. Kiongozi wa nchi. Serikali n.k ndio alama ya heshma kwa taifa. Huwezi kupishana nae kirahisi Kama vile mko Sinza
 
Imefika wakati viongozi wa Afrika na Tanzania kwa ujumla wapunguze kama siyo kuacha tabia ya kutaka kuabudiwa. Ni kufuru ya madaraka.
Inaboa na wanawakera watu eti Saa tatu kusubiri mtu apite wakati wengine wanawahi Ndege, Magari,Hospitali, Interview n. k, Haikubalikiiiii hata kidogo
 
S
Rais ni taasisi Kama hamjui. Rais sio mtu wa kawaida Kama wewe ni lazima alindwe kwa kila namna. Kwanza ni amirijeshi. Kiongozi wa nchi. Serikali n.k ndio alama ya heshma kwa taifa. Huwezi kupishana nae kirahisi Kama vile mko Sinza
Siyo kwa muda wote huo kuwasimamisha Maboss wake barabarani. Hivi kupiga kura foleni za masaa tukampa ulaje tukapoteza muda wetu na leo basi watu wakajitafutie anawapotezea muda tena? Not fair, Iwe hata Nusu Saa kumpisha angalau. Asidharau walio mpandisha.
 
Utaratibu mbovu rais angetumia helicopter kutoka ikulu na kwenda ikulu akitokea uwanja wa ndege
 
Haha ss tulishawahi kukalishwa masaa matu na dk 45 ndo mkulu akafika hiii ni hatali sana
 
Back
Top Bottom