Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
= inakera
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Matamshi na lafudhi sio kusomea ujinga. Mbona mwenye PhD anatamka SALASINI badala ya thalathini?
= inakera
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Matamshi na lafudhi sio kusomea ujinga. Mbona mwenye PhD anatamka SALASINI badala ya thalathini?
Ukipiga hesabu za uzalishaji wa masaa ya maelfu ya watu wanaosimamishwa ni wazi yatapita gharama za kumsafirisha mtu mmoja kwa ndege/ helikopta.Ni gharama mkuu.
Labda hapa wachumi wetu wangetusaidia ...hasara inayopatikana kwa kusimamisha uchumi wa watumia barabara kwa masaa matatu au kwenda 'sheli' kujaza mafuta kwenye helkopta ili 'mleta foleni' akawahi, kipi ni gharama zaidi!?
cc: Profesa Bwana yule
Kaka siyo mbere kwa mbere ni mbele kwa mbeleCcm mbere kwa mbere. Mlimpenda,mlimwamini,mlimpitisha,mlimpigia vigelegele na vifijo. Kubalini matokeo ya hayo yote.
Anko magu ukirudi ongeza masaa na kodi shilikilia hapo hapo ilipwe
Soma uzi vizuriKwani nani amezungumzia ngerenyere?
We bibi mnoko sana sasa hapo hujaelewa nini?!= inakera
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hakuna kitu kama hiko. Hiyo dodoma deal mwanangu la kupata posho tu. Subiri uoneNasema hivi, wahamie DODOMA tu. Leo nimekaa kwenye foleni Mwenge, lisaa na nusu
Jamaa yenu kwani ana "L"?Kaka siyo mbere kwa mbere ni mbele kwa mbele
= inakera
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Safi,wataelewa tu.= thelathini
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
We bibi mnoko sana sasa hapo hujaelewa nini?!
We kikongwe unawashwa= inakera
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hahahaaaa! Jamaa kama anasahihisha kumbe anatafuta kusahihishwa..= thelathini
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?


Mkuu naona ulikuwa unamuelekeza FF na wewe ukazama chaka! ...Matamshi na lafudhi sio kusomea ujinga. Mbona mwenye PhD anatamka SALASINI badala ya thalathini?


yeye anadhani wote walienda shule kusomea vishaziWe kikongwe unawashwa
Watapataje 'sifa na utukufu'? Lazima wawagandishe ili muweze kujua ukuu wao, na mamlaka waliyonayo juu yenu!Kwa nini hawatumii helikopta na ndege?
Asante sana kwa wazo hilo.Watapataje 'sifa na utukufu'? Lazima wawagandishe ili muweze kujua ukuu wao, na mamlaka waliyonayo juu yenu!
Mkuu naona ulikuwa unamuelekeza FF na wewe ukazama chaka! ...![]()
Mkuu mimi ni mtazamaji tuu! Nasubiria aje akusahihishe tenaNadhani yeye na weye ndio mko chakani. Mimi asili yangu ni Mvita. Hakuna neno thelathini wala themanini katika Kiswahili sanifu. Ni thalathini na thamanini na kisha kuna thumuni. Ila kwa vile yeye kwao ni Msoga namsamehe tu kama yule asemaye SELASINI.
= thelathini
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?