Masaa 24 yameshapita

Masaa 24 yameshapita

Hapo kuna mambo mawili yaliobakia, either serikali yetu itutoe kafara raia million zaidi ya 50 (tushughulikiwe nchi nzima) au atolewe kafara mmoja aliezua hili balaa lote (DAB).

Viongozi wetu nchi hii wana matatizo, sisi raia sio kwamba tunaunga mkono ushoga, hapana, tunauchukia ushoga toka moyoni kutokana na imani na maadili yetu. ila huyu DAB alijisahau sana akawa anaji MWAMBAFY kupita kiasi. Ameonea watu wengi sana.

Kuna wapo aliowapa kashfa za kuuza madawa ya kulevya kwenye TV waliharibiwa biashara zao/kazi/maisha/heshima na wengine walifunga biashara zao zote nchini (Hakuna hata mmoja aliethibitishwa mbele ya mahakama wala kufungwa jela kwa kashfa hio - Ishu hii ilikua na nini nyuma ya pazia?).

Kufungia na kuwaonea wafanya biashara wa sehemu za starehe, kiongozi wa serikali badala ahamasishe biashara ili mzunguko wa hela uwepo na ajira, anapangia watu "MUDA" wa kuanza biashara (kama vile anawasaidia kulipa kodi au ana share katika hizo biashara). Amefungia matumizi na biashara ya "SHISHA" kitu ambacho dunia nzima inaruhusu, na ni kitu kilichokua na ajira/mzunguko wa hela mkubwa sana katika sehemu za starehe na hoteli za kitalii (Kwa kigezo cha kijinga eti wanatumia kuvutia madawa ya kulevya - Mbona hajazuia matumizi na kuuzwa kwa "RIZLA" au "SIGARA" kwenye maduka na supermarket??? Rizla na Sigara tunatumia kusokotea na kuchanganya skadi kupunguza ukali. . . . . Leo watalii wanakuja nchini kwaajili ya mapumziko wanakutana na masharti ya muda wa kuanza starehe???? Unawalipia gharama za kuja nchini kwenye mapumziko mpaka uwapangie muda wa kufanya starehe???

Sakata la wanaume kutelekeza watoto, lilianza kwa siku mbili tu na kisha kufa, na asilimia kubwa lilitumika kuchafua watu na si kusaidia watu.

Kutoa kejeli kwa wananchi wa Dar Es Salaam, asiokua na ajira wala elimu atarudi kijijini. Kupitisha msako nyumba hadi nyumba kupima tezi dume (Aliwaza budget/gharama za kufanya hili? Hela ingetoka hazina au bungeni?)

#Watu walimkumbusha kuna maisha baada ya uongozi, sasa yamefika, ajionee huku mtaani watu walivyoweka beef nae.
DAB hawezi kutolewa kafara ataondoka na aliyemtuma.
 
Tangu marekani itoe taarifa yao yameshakatika masaa zaidi ya 24 bila kusikia kikohozi wala chafya ya kiongozi yeyote wa kiserikali akiongelea jambo lolote lile. Kwa kifupi mpaka muda huu hakuna aliyeonekana akijaribu hata ile kujifanya anajikuna.

Nchi ni kama imepigwa ganzi, ndugu watanzania wenzetu wamekufa huko Moshi kwenye ajali ya Mafuta hatujasikia kauli ya viongozi hadi hivi sasa zaidi ya Kamanda Hamduni na mkuu wa Wilaya Moshi.

Je, tuamini serikali imejichimbia ikifanya rehersal ya kuja na majibu? Au Our Numero Uno amestushwa na taarifa hizo kufahamika na dunia au alikua hazifahamu na sasa yupo kupata briefing!!

Vipi viongozi ambao hata hawasikiki wakiendelea kuyaongelea maeneo yao kama tulivyozoeshwa?
Hii hapa ni nini, rais katoa rambirambi mapema sana jana asubuhi. Achana nao hao wanaopenda mashindano. Sisi tunabaki kimya. Kukaa kimya nako huwa ni jibu tosha kabisa
IMG-20200202-WA0060.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAB hawezi kutolewa kafara ataondoka na aliyemtuma.
Dalili zote zinaonesha hili kutokea, maana sweden kukata misaada kwa asilimia 75% kwa muda wa miaka ijayo inamaanisha wameona utawala huu misaada wanayopewa hawaitumii kukidhi mahitaji ya raia wake.

Hivo ni SMS kwetu raia either tuuchague utawala huu tena kwa miaka 5 ijayo (tusisaidiwe) au tuchague utawala mwingine ili tusaidiwe.

Na ikifikia uchaguzi kukaribia mwaka huu, nchi za nje ndio wataongeza "PRESSURE" zaidi kwetu tanzania.
 
Tangu marekani itoe taarifa yao yameshakatika masaa zaidi ya 24 bila kusikia kikohozi wala chafya ya kiongozi yeyote wa kiserikali akiongelea jambo lolote lile. Kwa kifupi mpaka muda huu hakuna aliyeonekana akijaribu hata ile kujifanya anajikuna.

Nchi ni kama imepigwa ganzi, ndugu watanzania wenzetu wamekufa huko Moshi kwenye ajali ya Mafuta hatujasikia kauli ya viongozi hadi hivi sasa zaidi ya Kamanda Hamduni na mkuu wa Wilaya Moshi.

Je, tuamini serikali imejichimbia ikifanya rehersal ya kuja na majibu? Au Our Numero Uno amestushwa na taarifa hizo kufahamika na dunia au alikua hazifahamu na sasa yupo kupata briefing!!

Vipi viongozi ambao hata hawasikiki wakiendelea kuyaongelea maeneo yao kama tulivyozoeshwa?
Watu wako Busy na kazi, isipokuwa nusa nusa wanatafuta kusikia kile wanachokitaka.
 
Dalili zote zinaonesha hili kutokea, maana sweden kukata misaada kwa asilimia 75% kwa muda wa miaka ijayo inamaanisha wameona utawala huu misaada wanayopewa hawaitumii kukidhi mahitaji ya raia wake.

Hivo ni SMS kwetu raia either tuuchague utawala huu tena kwa miaka 5 ijayo (tusisaidiwe) au tuchague utawala mwingine ili tusaidiwe.

Na ikifikia uchaguzi kukaribia mwaka huu, nchi za nje ndio wataongeza "PRESSURE" zaidi kwetu tanzania.
DAB na anayemtuma wana kiapo cha damu, watabaki wote au kuondoka wote.
 
Back
Top Bottom