Jeshi la Polisi Singida latia aibu, lashindwa kutoa maiti iliyopigwa risasi kwa zaidi ya masaa 24

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,067
10,936
Haji Landa Mkazi wa kijiji cha Ihanja, Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mazingira ya kifo chake ni kwamba ilikuwa muda wa usiku Jana Alhamisi baada ya kupata mlo wa usiku na familia, marehemu alitoa nje kupunga upepo lakini wakati akilisogelea geti walitokea watu wakampiga risasi na kutokomea kusikojulikana

Jambo la kusikitisha mpaka naandika haya leo ijumaa saa 19:50 mwili bado upo eneo la tukio pamoja na taarifa kuwa ishatolewa kwa jeshi la polisi mkoa wa Singida.

Ndugu wa marehemu washafanya mipango yote ya msiba na mazishi lakini wanashindwa kuendelea na mipango mingine kwasababu nature ya kifo chake ni mpaka ruhusu ya Jeshi la Polisi.

Maoni Yangu;
Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo. Nina uhakika huu ni uzembe wa hali ya juu na inabidi wakuu wa Jeshi Singida wawajibishwe. Haiwezekani mwili ulalel eneo la tukio kwa masaa 24. Mbona viongozi wa kisiasa mnawakamata na kuwasafirisha umbali mrefu. Imekuwaje mnashindwa kwenda kuchunguza mwili uliopigwa risasi. Shenzi kabisa.
 
duuu naona mkuu umeamua uhitimishe kwa kishindo....

Ofkozi wanakera sana,,,,mambo yao ya kufanya kazivkwa kujali watu wamatabaka Fulani ndo tatizo...
yaani mpaka uwe MTU Fulani ndo wanafanya haraka!!!!

mambo kama Haya yanasababisha watu kuichukia serikali .....

poleni wafiwa.
 
duuu naona mkuu umeamua uhitimishe kwa kishindo....

Ofkozi wanakera sana,,,,mambo yao ya kufanya kwa kujali watu wamatabaka Fulani ndo tatizo...
yaani mpaka uwe MTU Fulani ndo wanafanya haraka!!!!

mambo kama Haya yanasababisha watu kuichukia serikali .....

poleni wafiwa.
Mkuu inakera, imagine mwili tokea jana mpaka leo upo palepale. Kaimu Msaidizi Debora Magirigimba anasema taarifa zipo mezani wanazifanyia kazi, kazi gani sasa zaidi masaa 24?
 
Mbona mkuu una jazba hivyo hivi laiti kama angekuwa amepigwa risasi na askari sipati picha uandishi wako ungekuwa ni wa aina gani? jifunze kuandika ukiwa na utulivu mkuu.
 
Duuu....Tanzania yangu niona inanyemelewa na wimbo la mauza uza ya mamlaka nyeti.
 
Haji Landa Mkazi wa kijiji cha Ihanja, Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mazingira ya kifo chake ni kwamba ilikuwa muda wa usiku Jana Alhamisi baada ya kupata mlo wa usiku na familia, marehemu alitoa nje kupunga upepo lakini wakati akilisogelea geti walitokea watu wakampiga risasi na kutokomea kusikojulikana

Jambo la kusikitisha mpaka naandika haya leo ijumaa saa 19:50 mwili bado upo eneo la tukio pamoja na taarifa kuwa ishatolewa kwa jeshi la polisi mkoa wa Singida.

Ndugu wa marehemu washafanya mipango yote ya msiba na mazishi lakini wanashindwa kuendelea na mipango mingine kwasababu nature ya kifo chake ni mpaka ruhusu ya Jeshi la Polisi.

Maoni Yangu;
Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo. Nina uhakika huu ni uzembe wa hali ya juu na inabidi wakuu wa Jeshi Singida wawajibishwe. Haiwezekani mwili ulalel eneo la tukio kwa masaa 24. Mbona viongozi wa kisiasa mnawakamata na kuwasafirisha umbali mrefu. Imekuwaje mnashindwa kwenda kuchunguza mwili uliopigwa risasi. Shenzi kabisa.

Mmmmm hii ni maajabu kwakweli....
 
Singida Matukio andiyo duira ne Makoo, Urime walula oruu, Mongu gu saidie , gwepushe na ntendo ne mbee ya geshetani....Ihanja mongu avatangulie
 
Nguvu zote zimeelekezwa kumlinda Daudi.

Awamu hii ni hovyo kabisa.

Haji Landa Mkazi wa kijiji cha Ihanja, Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mazingira ya kifo chake ni kwamba ilikuwa muda wa usiku Jana Alhamisi baada ya kupata mlo wa usiku na familia, marehemu alitoa nje kupunga upepo lakini wakati akilisogelea geti walitokea watu wakampiga risasi na kutokomea kusikojulikana

Jambo la kusikitisha mpaka naandika haya leo ijumaa saa 19:50 mwili bado upo eneo la tukio pamoja na taarifa kuwa ishatolewa kwa jeshi la polisi mkoa wa Singida.

Ndugu wa marehemu washafanya mipango yote ya msiba na mazishi lakini wanashindwa kuendelea na mipango mingine kwasababu nature ya kifo chake ni mpaka ruhusu ya Jeshi la Polisi.

Maoni Yangu;
Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo. Nina uhakika huu ni uzembe wa hali ya juu na inabidi wakuu wa Jeshi Singida wawajibishwe. Haiwezekani mwili ulalel eneo la tukio kwa masaa 24. Mbona viongozi wa kisiasa mnawakamata na kuwasafirisha umbali mrefu. Imekuwaje mnashindwa kwenda kuchunguza mwili uliopigwa risasi. Shenzi kabisa.
 
Haji Landa Mkazi wa kijiji cha Ihanja, Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mazingira ya kifo chake ni kwamba ilikuwa muda wa usiku Jana Alhamisi baada ya kupata mlo wa usiku na familia, marehemu alitoa nje kupunga upepo lakini wakati akilisogelea geti walitokea watu wakampiga risasi na kutokomea kusikojulikana

Jambo la kusikitisha mpaka naandika haya leo ijumaa saa 19:50 mwili bado upo eneo la tukio pamoja na taarifa kuwa ishatolewa kwa jeshi la polisi mkoa wa Singida.

Ndugu wa marehemu washafanya mipango yote ya msiba na mazishi lakini wanashindwa kuendelea na mipango mingine kwasababu nature ya kifo chake ni mpaka ruhusu ya Jeshi la Polisi.

Maoni Yangu;
Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo. Nina uhakika huu ni uzembe wa hali ya juu na inabidi wakuu wa Jeshi Singida wawajibishwe. Haiwezekani mwili ulalel eneo la tukio kwa masaa 24. Mbona viongozi wa kisiasa mnawakamata na kuwasafirisha umbali mrefu. Imekuwaje mnashindwa kwenda kuchunguza mwili uliopigwa risasi. Shenzi kabisa.
Tena huko Singida si'ndio kwao na Mangu huko?

Jambazi hapa kavamia kituo cha Radio kashindwa kumkamata si kwambii hao walio na hawaonekani kwa Camera
 
Haji Landa Mkazi wa kijiji cha Ihanja, Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Mazingira ya kifo chake ni kwamba ilikuwa muda wa usiku Jana Alhamisi baada ya kupata mlo wa usiku na familia, marehemu alitoa nje kupunga upepo lakini wakati akilisogelea geti walitokea watu wakampiga risasi na kutokomea kusikojulikana

Jambo la kusikitisha mpaka naandika haya leo ijumaa saa 19:50 mwili bado upo eneo la tukio pamoja na taarifa kuwa ishatolewa kwa jeshi la polisi mkoa wa Singida.

Ndugu wa marehemu washafanya mipango yote ya msiba na mazishi lakini wanashindwa kuendelea na mipango mingine kwasababu nature ya kifo chake ni mpaka ruhusu ya Jeshi la Polisi.

Maoni Yangu;
Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo. Nina uhakika huu ni uzembe wa hali ya juu na inabidi wakuu wa Jeshi Singida wawajibishwe. Haiwezekani mwili ulalel eneo la tukio kwa masaa 24. Mbona viongozi wa kisiasa mnawakamata na kuwasafirisha umbali mrefu. Imekuwaje mnashindwa kwenda kuchunguza mwili uliopigwa risasi. Shenzi kabisa.
Policcm
 
Ukiwa na unafuu wa maisha /mgonjwa, majambazi, wachawi, wenye wivu+serikali/ vinakuandama na Ukiwa huna kitu ndio shida kabisa
 
Hapo mngetaka waje mngezusha chadema wanataka kuuchukua mwili kwa maandamano!
 
Back
Top Bottom