Masaa 24 yameshapita

Masaa 24 yameshapita

Naomba Niipongeze serikali kwa kimya hiki.. Hili sio jambo la kukurupuka tena... Hata kidogo... Kuna mlolongo wa matukio yatafuata baada ya hili... Hivyo linahitaji muda wa kutosha weledi na hekima kwenye kulitolea tamko
Tangu marekani itoe taarifa yao yameshakatika masaa zaidi ya 24 bila kusikia kikohozi wala chafya ya kiongozi yeyote wa kiserikali akiongelea jambo lolote lile. Kwa kifupi mpaka muda huu hakuna aliyeonekana akijaribu hata ile kujifanya anajikuna.

Nchi ni kama imepigwa ganzi, ndugu watanzania wenzetu wamekufa huko Moshi kwenye ajali ya Mafuta hatujasikia kauli ya viongozi hadi hivi sasa zaidi ya Kamanda Hamduni na mkuu wa Wilaya Moshi.

Je, tuamini serikali imejichimbia ikifanya rehersal ya kuja na majibu? Au Our Numero Uno amestushwa na taarifa hizo kufahamika na dunia au alikua hazifahamu na sasa yupo kupata briefing!!

Vipi viongozi ambao hata hawasikiki wakiendelea kuyaongelea maeneo yao kama tulivyozoeshwa?

Jr
 
Wamarekani wamesema wanazo taarifa za kutosha kuwa BASHITE ndio kiongozi wa watekaji na wapotezaji watu sasa unategeme nani aongee hapo
USA akisema ana ushahidi wa kutosha ujue hatari. Nadhani Serikali walikuwa relax hakuna uchunguzi wa nje kumbe jamaa kimya kimya. Na kawaida USA hapo ubalozini majasusi kibao na utakuta hata huku watumishi wa serikali kuna informers. Utajibu nini lazima ukae kimyaa labda umalize chinichini kuwa tufanyeje? solution watatoa USA wenyewe.
 
Naomba Niipongeze serikali kwa kimya hiki.. Hili sio jambo la kukurupuka tena... Hata kidogo... Kuna mlolongo wa matukio yatafuata baada ya hili... Hivyo linahitaji muda wa kutosha weledi na hekima kwenye kulitolea tamko

Jr
Ulichosema ni kweli kabisa, hili tamko ni kama kikohozi cha kuweka sawaa koromeo kabla ya kuanza kuongea
 
Duh!
Hapa makonda hachomoki, makosa aliyoyafanya yanachukuliwa Kama uvunjwaji wa peremptory norms (jus cogens), na kibaya zaidi ni kwamba: offenders of Peremptory norms are enemies of all mankind (hostis humani generis).

Kifupi ni kwamba makonda ameshakuwa adui wa dunia.

alichokifanya US ni maandalizi tu, mziki wenyewe unafuata!

Stay tuned!
 
Kwani serikali imetuhumiwa Nini? Ingekuwa NI wewe ungejibu Nini?
Serikali inawajibu wa kulinda uhai na haki ya raia wake, kama watu wanatekwa, kupotea na kuuwawa na mwenye wajibu wa kuwalinda amekaa kimya inadhani bado haina tuhuma?
Na kutuhumiwa siyo lazima waitaje kuwa serikali imrfanya hivi au vile kitendo cha kiongozi wake kutuhumiwa tayari ni serikali imetuhumiwa.
So wanajua wanachotakiwa kujibu ww kama hujui nyamaza
 
Naomba Niipongeze serikali kwa kimya hiki.. Hili sio jambo la kukurupuka tena... Hata kidogo... Kuna mlolongo wa matukio yatafuata baada ya hili... Hivyo linahitaji muda wa kutosha weledi na hekima kwenye kulitolea tamko

Jr
Mshana hofu yangu hawa US tukiwaletea ujuaji wanaweza kutuletea undava tuka sambaratishana wenyewe.
Imagine wanatoa picha za setelite zikimuonyesha Oclock-8 kapigishwa magoti mbele ya kiti cha enzi huku pembeni Paulo kasimama na mjeledi tutasemaje zaidi ya kuchukiana zaidi?
 
Hii miaka 6 ya jiwe watu tutanyooka kama rula, bado ARV kwa hisani ya watu wa marekani, Ngo's za afya ndo kibao, wakati ata essential medicine zimetushinda kununua kila hospital ya umma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu marekani itoe taarifa yao yameshakatika masaa zaidi ya 24 bila kusikia kikohozi wala chafya ya kiongozi yeyote wa kiserikali akiongelea jambo lolote lile. Kwa kifupi mpaka muda huu hakuna aliyeonekana akijaribu hata ile kujifanya anajikuna.

Nchi ni kama imepigwa ganzi, ndugu watanzania wenzetu wamekufa huko Moshi kwenye ajali ya Mafuta hatujasikia kauli ya viongozi hadi hivi sasa zaidi ya Kamanda Hamduni na mkuu wa Wilaya Moshi.

Je, tuamini serikali imejichimbia ikifanya rehersal ya kuja na majibu? Au Our Numero Uno amestushwa na taarifa hizo kufahamika na dunia au alikua hazifahamu na sasa yupo kupata briefing!!

Vipi viongozi ambao hata hawasikiki wakiendelea kuyaongelea maeneo yao kama tulivyozoeshwa?
Hujaona statement kutoka Ikulu? Du ukiwa pinga pinga ni lazima uazime ubongo wa nyumbu walai..
 
ni vema sasa; au magufuli, au waziri wa mambo ya nje au makonda mwenyewe asimame na kuiambia dunia ukweli. U.S.A sio mjinga kiasi hicho. suala hili sio tu linamgusa makonda lakini linamgusa rais kama taasisi lakini pia ni doa baya sana kwa nchi yetu na mfumo mzima wa uongozi/utawala. inaonesha ni namnagani viongozi wetu wanavyotumia madaraka vibaya kunyanyasa raia
 
ni vema sasa; au magufuli, au waziri wa mambo ya nje au makonda mwenyewe asimame na kuiambia dunia ukweli. U.S.A sio mjinga kiasi hicho. suala hili sio tu linamgusa makonda lakini linamgusa rais kama taasisi lakini pia ni doa baya sana kwa nchi yetu na mfumo mzima wa uongozi/utawala. inaonesha ni namnagani viongozi wetu wanavyotumia madaraka vibaya kunyanyasa raia
 
Chafya ndiyo hiyo hapo
IMG_20200202_065946.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom