Mary Chitanda Bungeni

Mary Chitanda Bungeni

natamani tukutane woote na wake au waume zetu,kiingilio password zetu za JF,kuna watu tutashangaana:laugh::laugh::laugh:
 
Dah!Punguzeni jamani kumchambua kama karanga..utafikir nyie ni kina Cleopatra kwa uzuri.....
 
Ndo uzuri wa picha. Naona baadhi ya wakuu waliokuwa wakali sana kwenye jukwaa la siasa hapa wamelegea. Labda itasaidia pia kupunguza madongo kwa muungwana anapopanga safu zake za wakuu wa wilaya kwa vigezo hivyo! :bump2:
 
:sick:Sijampenda hata kidogo ,Carmel alivyosema ni mshamba hajui kupangilia viwalo vyake ,na ndio maana hajui kuchagua maneno ya kuongea :sick:
 
anaitwa mary chatanda, ni kweli waliomtuma wana maelezo ya ziada lakini naye kabeba sehemu ya dhambi ya mauaji
 
huyu mdada ana umuhimu gani hadi azungumziwe kiasi hicho? amefanya nini?>
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom