Barbie Maliposa
Senior Member
- Feb 9, 2011
- 153
- 19
she z ok.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndio anayedaiwa kuwa chanzo cha kuvugika kwa taratibu za kuchagua meya huko Arusha.Wajumbe wa CDM hawakuafiki ushiriki wake kwa kuwa yeye ni mbunge kutoka Tanga.Pia ndiye aliyewaambia maaskofu wavue majoho... kuna threads hapa JF zenye detailed information kuhusu huyu dada.Unaweza kusearch prior posts kama hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nda-azua-tena-mvutano-ccm-chadema-arusha.html
Watu wengi walikuwa na hamu ya kuona picha yake kutokana na mkanganyiko mkubwa uliotokea kabla na baada ya sakata hilo lakini kwa kipindi hicho picha yake haikupatikana popote.
she z ok.
Ina kazi yake hiyo! hebu fikiria inakula ndizi mbivu lol
simama huwezi jua labda umekalia jichoMbona picha haionekani?