Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Ukiwa huna akili ya kujiongoza lazima uongelewe vibaya.Sidhani kama kuna mtu anapenda kuongelewa vibaya kupitiliza....i feel sorry for her
Ukiwa huna akili ya kujiongoza lazima uongelewe vibaya.Sidhani kama kuna mtu anapenda kuongelewa vibaya kupitiliza....i feel sorry for her
Tena pwani linaanza kuzama mapemaaaaKashaona sasa magharibi
Chochote atachofanya huyu binti kwa watu ni kibaya, kuna watu wanasema age imeenda. Nabaki kujiuliza miaka 29 ndiyo ya kumsakamia mtu kuwa age imeenda? roho mbaya tu!!Apumzishwe jamani...watu wamuonee huruma kumuweka midomoni mwao
Yani huwa najiulizaga hivi ni yeye tu anayefanya mabaya! Anyways ndio ya dunia tenaaChochote atachofanya huyu binti kwa watu ni kibaya, kuna watu wanasema age imeenda. Nabaki kujiuliza miaka 29 ndiyo ya kumsakamia mtu kuwa age imeenda? roho mbaya tu!!
Kaul ya hapa kazi tu na yy inamtafuna, hana jipya angeshtuka mapema angekuwa mbali..
ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha yake.
Akizungumza jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi maisha yake ni hatua ya kupongezwa.
“Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri na ya kupongezwa, mimi na familia yake hatukuwa tukipendezwa nayo kwa kuwa ilikuwa ikichafua jina lake,” alieleza Martin.
Martin aliongeza kwamba Wema ambaye amebadili meneja kwa sasa, amekuwa tofauti na alivyozoeleka maana amekuwa muelewa na msikivu kwa anachoelekezwa.
Chanzo: Swahili News
ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha yake.
Akizungumza jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi maisha yake ni hatua ya kupongezwa.
“Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri na ya kupongezwa, mimi na familia yake hatukuwa tukipendezwa nayo kwa kuwa ilikuwa ikichafua jina lake,” alieleza Martin.
Martin aliongeza kwamba Wema ambaye amebadili meneja kwa sasa, amekuwa tofauti na alivyozoeleka maana amekuwa muelewa na msikivu kwa anachoelekezwa.
Chanzo: Swahili News
Wajanja tumeng' amua...unajua wanapenda piga picha na nguo mpya kilasiku...sasa kwa usawa huu wa magu hakuna mhongaji..
Ajikite kufanya kazi ale jasho lake na si kukaa uza nyapu
Mbavu zanguualianza kubadili ngozi
mabwana
kucha
kope
nywele
labda angebadili ubongo ingekua habari kubwa