Martin Kadinda: Wema Sepetu amebadilika hadi raha!

Mi sijaelewa hapo kwenye meneja tu. Sasa meneja wa nini? Embu nifafanulieni.
 
Chochote atachofanya huyu binti kwa watu ni kibaya, kuna watu wanasema age imeenda. Nabaki kujiuliza miaka 29 ndiyo ya kumsakamia mtu kuwa age imeenda? roho mbaya tu!!
Yani huwa najiulizaga hivi ni yeye tu anayefanya mabaya! Anyways ndio ya dunia tenaa
 


ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha yake.

Akizungumza jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi maisha yake ni hatua ya kupongezwa.

“Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri na ya kupongezwa, mimi na familia yake hatukuwa tukipendezwa nayo kwa kuwa ilikuwa ikichafua jina lake,” alieleza Martin.

Martin aliongeza kwamba Wema ambaye amebadili meneja kwa sasa, amekuwa tofauti na alivyozoeleka maana amekuwa muelewa na msikivu kwa anachoelekezwa.

Chanzo: Swahili News
Kaul ya hapa kazi tu na yy inamtafuna, hana jipya angeshtuka mapema angekuwa mbali..
 
AWAMU HII YA JPM KILA HAWARA ATABADILIKA TU...BABA TUNYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOSHE TU


ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha yake.

Akizungumza jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi maisha yake ni hatua ya kupongezwa.

“Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri na ya kupongezwa, mimi na familia yake hatukuwa tukipendezwa nayo kwa kuwa ilikuwa ikichafua jina lake,” alieleza Martin.

Martin aliongeza kwamba Wema ambaye amebadili meneja kwa sasa, amekuwa tofauti na alivyozoeleka maana amekuwa muelewa na msikivu kwa anachoelekezwa.

Chanzo: Swahili News
 
Kabadilika au sasa hivi hana kiki mpya?
Alikuja na kiki ya mimba ikabuma sijui atakuja na kiki gani tena
 
Amebadilik au sababu anaona anachuchujaa sasa atafanyajee lzm atafute kiki mpya ili ule mtego wake unasee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom